Ona naye huyu....same old stories...nilishaambiwa kuwa United ilishinda EPL mfululizo wakati David Dein akiwa makamu mwenyekiti wa FA, na pia akiwa pia mwakilishi wa vilabu vya soka kwenye uongozi wa FA....sasa sijui Dein (aliyekuwa mmiliki wa goons) aliibeba United?!?
Saa nyingine watu uwa mnafurahisha na kuhuzunisha sana kwa kuleta story za kwenye vijiwe vya kahawa humu...kwa utaratibu wa FA, lazima kuwe na uwakilishi wa professional clubs kwenye bodi na uongozi wa FA...sasa D. Gill ni mmoja wa wawakilishi hao, ambao uchaguliwa na timu zinazoshiriki ligi mbalimbali za Uingereza....kuna kipindi kigogo wa Rentboys alikuwa katika bodi ya FA, Benetiz akawa analalamika anaipendelea Chel$ki$
Kwa mfano sasa bosi wa FA ni Greg Dyke (jina lake halisi wala siyo masihara), aliyewahi kuwa kigogo wa United miaka ya 1990...kazi ya mwisho walikuwa bosi wa BBC...CEO ni jamaa ambaye alishawahi kuwa kwenye bodi ya Leicester City...sasa sijui kwanini Greg hasiibebe United sasa hivi, wakati yeye ni kigogo mkuu???
Chanzo:
The website for the English football association, The FA Cup and The England football team - About Football Association | The FA