mmeshinda ila kwa mbiiiinde, hongereni lakini. Upepo unaweza ukasukuma embe mpaka kwenye mkorosho.
Leo wazee wa possessions na hoofing ball to kichwani kwa Tolu mmeuropu.
Leo wazee wa possessions na hoofing ball to kichwani kwa Tolu mmeuropu.
Gemu 17 umeshinda 2 bado mdomo mali yako.Kila msimu tumezoea hiyo CD iliyokwaruzika kwamba mwaka wetu huu. Ndio maana Mourinho akawaita boring miaka 10 hamjachukua premier league lakini kuchonga hamchoki.
Sijui tumepatwa na matatizo gani... timu ilishaanza kukaa sawa
Dah wametukosa .... hii mechi hii mhh
Leo wazee wa possessions na hoofing ball to kichwani kwa Tolu mmeuropu.
mmeshinda ila kwa mbiiiinde, hongereni lakini. Upepo unaweza ukasukuma embe mpaka kwenye mkorosho.
Kipofu kaona mwezi leo
Ama kweli poor performances huwa zinaua confidence za wachezaji na wapenzi wa timu. Baadhi ya posts zenu wakati wa mechi zimethibitisha hili.
Ama kweli poor performances huwa zinaua confidence za wachezaji na wapenzi wa timu. Baadhi ya posts zenu wakati wa mechi zimethibitisha hili.
Kaka yangu alikuja fasta alivyoona kamerudi kale kagoli sasahivi hawezi kuja tena... .
Mkuu mkifungwaga huwa unapotea kwa masaa kadhaa.
Dua litakamilika jumapili mida kama hii...
Kuna mechi hatutakiwi kushinda kwa kujiwekea mazingira magumu .... mechi kama ya leo.... ndio ninachokisemea miezi kama miwili tulishaanza kuwa kama enzi za Fergie vile