rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Mbona unaleta ubishi usio wa maana arifu...tactical change ilikuwa kutokana na Smalling kuelemewa na spidi ya Palace...
Kuhusu next game dhidi ya Goons, siongi chochote zaidi ya kusubiri dakika 90 ziamue..
Hahaha kauli hiyo inaonyesha kuwa unajua tunakuja kuwapa kipigo cha mbwa mdokozi jiko la mama ntilie.