Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahaha huwa napenda hizi predictions za wapenzi wa mpira. Nakumbuka mlikuwa mnasema hivyo baada ya kumnunua Di Maria, Falcao pamoja na wachezaji wengine.... Anyway ndiyo vijimambo vya kabumbu hivi, kila mtu ana haki ya kusema hivi.

Kwa hiyo ubovu wa Di Maria na Falcao unaopimaje? Wewe si shabiki wa Goons...

Hizi ni 2014/15 EPL stats kati ya Di Maria na Nemo

Goals Shots Assists Crosses Barclays Fans Rating
Di Maria 3 39 10 145 7.32
Nemo 4 22 5 41 6.37

Na huu ni msimu wa kwanza wa Di Maria....

Ángel Di María, Manchester United midfielder player profile | Barclays Premier League
Mesut Özil honours, awards & transfer info | Barclays Premier League

Di Maria, Januzaj, Falcao wote mlikuwa na matumaini makubwa. Wachezaji nyota dizaini ya kina CR7, Messi huwa wanatokea mara moja moja baada ya miongo kadhaa. Tusubiri tuone atakavyokuwa.

Hivi ni nani kamlinganisha Depay na akina Ronaldo na Messi humu?! Arifu mbona unaanza kuogopa wakati dogo hata hajatia mguu EPL!! Yaani unavyomwogopa hadi unamlinganisha mwenyewe na kina Ronaldo!!! Depay ni mchezaji mzuri ndiyo maana amemaliza kama mfungaji bora wa Eredivisie, akiwa na goli 21 (10 nyumbani na 11 ugenini).

Naona mmeanguka kimapato na kithamani sababu mlikuwa wa pili(kama sikosei), Arsenal nao wameanguka kimapato. Nimeona hata Real Madrid nao wameanguka kimapato lakini bado wapo nafasi ya kwanza. Competition ya utajiri inazidi kuwa kali kila mwaka. Watu wa business tuelezeni hii kitu inavyokwenda please.

Usiseme kitu kama huna uhakika nacho ili kufurahisha nafsi yako kwa kuonyesha United inayumba....

Angalia takwimu za Forbes za mwaka jana na mwaka huu, za Man United:

Mwaka 2014

3. Manchester United

Current value: $2.81 bil.

Revenue (2012-13): $551 mil.

Operating income (2012-13): $165 mil.

Manchester United's sponsorship revenue has increased from $62 million in fiscal 2010 to $138 million in 2013.

Manchester United - In Photos: The World's Most Valuable Soccer Teams 2014 - Forbes

Mwaka 2015


3. Manchester United

Team value: $3.1 bil.

Revenue: $703 mil.

Operating income: $211 mil.

Manchester United signed a record-shattering $1.1 billion, 10-year dual global sponsorship and licensing deal with adidas that begins with the 2015-16 season.

Manchester United - In Photos: The World’s Most Valuable Soccer Teams 2015 - Forbes


#WakaangaSumu bana, yaani ilmradi wabishe tu na kujitutumua humu....

Ujumbe ni kwamba, pamoja na baadhi ya vitimu kuchukua ubingwa, kwenda UCL, ila linapokuja suala la fwedha, #ManUnited hana mpinzani....hii inawafunga midomo wote wale waliokuwa wanadai wanaweza kushindana na United katika soko la usajili, fedha ipo labda kama mchezaji hasitake mwenyewe ama timu isiwe na mpango naye....
 
Kwa hiyo ubovu wa Di Maria na Falcao unaopimaje? Wewe si shabiki wa Goons...

Hizi ni 2014/15 EPL stats kati ya Di Maria na Nemo

Goals Shots Assists Crosses Barclays Fans Rating
Di Maria 3 39 10 145 7.32
Nemo 4 22 5 41 6.37

Na huu ni msimu wa kwanza wa Di Maria....

Ángel Di María, Manchester United midfielder player profile | Barclays Premier League
Mesut Özil honours, awards & transfer info | Barclays Premier League



Hivi ni nani kamlinganisha Depay na akina Ronaldo na Messi humu?! Arifu mbona unaanza kuogopa wakati dogo hata hajatia mguu EPL!! Yaani unavyomwogopa hadi unamlinganisha mwenyewe na kina Ronaldo!!! Depay ni mchezaji mzuri ndiyo maana amemaliza kama mfungaji bora wa Eredivisie, akiwa na goli 21 (10 nyumbani na 11 ugenini).



Usiseme kitu kama huna uhakika nacho ili kufurahisha nafsi yako kwa kuonyesha United inayumba....

Angalia takwimu za Forbes za mwaka jana na mwaka huu, za Man United:

Mwaka 2014

3. Manchester United

Current value: $2.81 bil.

Revenue (2012-13): $551 mil.

Operating income (2012-13): $165 mil.

Manchester United's sponsorship revenue has increased from $62 million in fiscal 2010 to $138 million in 2013.

Manchester United - In Photos: The World's Most Valuable Soccer Teams 2014 - Forbes

Mwaka 2015


3. Manchester United

Team value: $3.1 bil.

Revenue: $703 mil.

Operating income: $211 mil.

Manchester United signed a record-shattering $1.1 billion, 10-year dual global sponsorship and licensing deal with adidas that begins with the 2015-16 season.

Manchester United - In Photos: The World’s Most Valuable Soccer Teams 2015 - Forbes


#WakaangaSumu bana, yaani ilmradi wabishe tu na kujitutumua humu....

Ujumbe ni kwamba, pamoja na baadhi ya vitimu kuchukua ubingwa, kwenda UCL, ila linapokuja suala la fwedha, #ManUnited hana mpinzani....hii inawafunga midomo wote wale waliokuwa wanadai wanaweza kushindana na United katika soko la usajili, fedha ipo labda kama mchezaji hasitake mwenyewe ama timu isiwe nQ

Vitimu vili vyochochukua EPL na kwenda UCL vikitaka mchezaji vinampata,
Unless huyo mchezaji awe "reject" wa timu kubwa kama wachezaji wanaochukuliwa na timu yako siku hizi.

# Milele atakumbukwa SAF
#THE REST IS HISTORY
 
ImageUploadedByJamiiForums1431032602.201438.jpg

Hapo vipi?
 
Shaw=Blind
Di Maria=Depay
Young kama kawaida left wing
Rojo= Phil Jones=Smalling (ame-improve namsubiri msimu ujao )
Fellain atakuwa kama plan B. Natumai Lvg atakuja na kamfumo flan ivi amazing kwa hii type ya player atakayokuwanayo )
Timu inavyocheza sasa ni tofauti ilivyokuwa kwa Moyes. Imeimprove Kilichobaki na kucreate chance and score as much as possible
 
It is about the Benjamins..5 United players in the top 10 best shirt sales in the EPL...

RvP - zimenunuliwa jezi zake 120,000
Falcao - 165,000
Rooney - 188,000
DDG - 195,000
Di Maria - 589,000

Na hapa zinaongelewa jezi original (ambazo kwa siyo chini ya pound 56 kwa short-sleeved), na siyo za Kariakoo (za elfu 30,000?)

Hivyo basi, mchezaji kama Di Maria anayelipwa pound 280,000 kwa wiki, kwa mauzo ya jezi yake tu, United haijapata hasara hata kidogo. Kama tukichukulia kuwa watu walilinunua jezi zake za short sleeve, ina maana United imetengeneza pound 32,984,000, ukigawanya kwa 12, unapata pound 2,748,666.666. Di Maria kwa mwezi anapata pound 1,120,000. Sasa mauzo ya jezi zake tu yanatosha kumlipa mshahara, na bado timu inabaki na pesa zaidi ya asilimia 50 ya anacholipwa....

Hiyo kwa Di Maria tu...siwaongelei wengine...#WakaangaSumu watapasuka

2723746D00000578-3017864-image-a-72_1427714910654.jpg


Manchester United star Angel di Maria is most popular Premier League player based on shirt sales ahead of Alexis Sanchez and Diego Costa | Daily Mail Online
 
Liver atamfunga Chelsea na nyie mtafungwa na Crystal...

dah, mentor morinho toka ameanza kufundisha chelsea kacheza mechi 95 pale darajani kafungwa moja tu na droo 20, unataka unambie ye atapenda liver wamchafulie rekod yake?
 
dah, mentor morinho toka ameanza kufundisha chelsea kacheza mechi 95 pale darajani kafungwa moja tu na droo 20, unataka unambie ye atapenda liver wamchafulie rekod yake?

- Ahahah anything to get u out of the top four

- Mou atapanga kikosi mixed

- hata wale regular XI watacheza kikawaida sana...motivation ya kushinda haipo tena!
 
Kwa hiyo ubovu wa Di Maria na Falcao unaopimaje? Wewe si shabiki wa Goons...

Hizi ni 2014/15 EPL stats kati ya Di Maria na Nemo

Goals Shots Assists Crosses Barclays Fans Rating
Di Maria 3 39 10 145 7.32
Nemo 4 22 5 41 6.37

Na huu ni msimu wa kwanza wa Di Maria....

[URL="http://www.premierleague.com/en




Hahaaha hiki ndicho kilichobaki disappointments disappointments. Hizi season mbili zinakukosesha raha.Tusubiri August labda mambo yatakuwa tofauti.
 
Back
Top Bottom