kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,992
- 3,879
It is about the Benjamins..5 United players in the top 10 best shirt sales in the EPL...
RvP - zimenunuliwa jezi zake 120,000
Falcao - 165,000
Rooney - 188,000
DDG - 195,000
Di Maria - 589,000
Na hapa zinaongelewa jezi original (ambazo kwa siyo chini ya pound 56 kwa short-sleeved), na siyo za Kariakoo (za elfu 30,000?)
Hivyo basi, mchezaji kama Di Maria anayelipwa pound 280,000 kwa wiki, kwa mauzo ya jezi yake tu, United haijapata hasara hata kidogo. Kama tukichukulia kuwa watu walilinunua jezi zake za short sleeve, ina maana United imetengeneza pound 32,984,000, ukigawanya kwa 12, unapata pound 2,748,666.666. Di Maria kwa mwezi anapata pound 1,120,000. Sasa mauzo ya jezi zake tu yanatosha kumlipa mshahara, na bado timu inabaki na pesa zaidi ya asilimia 50 ya anacholipwa....
Hiyo kwa Di Maria tu...siwaongelei wengine...#WakaangaSumu watapasuka
![]()
Manchester United star Angel di Maria is most popular Premier League player based on shirt sales ahead of Alexis Sanchez and Diego Costa | Daily Mail Online
Naombea muendelee na kununua wachezaji "wauza jezi" kila season.
#ItsAllAboutTheBenjamins
#TheSinkingShip