Chicharito goli alilowafunga chelsea kwa pua ananikumbusha Giovanni Elber wa Bayern Munich mwezi wa 4 ktk nusu final 2001 pale santiago bernebeu kati ya real madrid vs bayern munich,real alilala kwake moja bila chini ya kocha wake Del Bosque akipambana na kocha Ottmar Hitzfeld wa Bayern enzi hizo(kamfunga tena spain vs swiss world cup 2010)Real Madrid ikiundwa na mastaa kina Figo,R Carlos,Hierro libero,Raul,McManaman,Solari,Ivan Helguera,Salgado,Karanka na Casillas alifungwa bao dk inakimbilia 75 la ugoko na Elber,sitosahau Bayern ilikuwa ya ukweli na Real ilikuwa really,kwanza robo final Man Utd kafungwa na Bayern home and away Paulo Sergio old trafford dk 85 1-0,na akafungwa 2-1 Munich,Elber na Sergio tena,Man alifunga Giggs 2nd half ht walikuwa 2-0 tayari,semi Real akala nae 1-0 kwao Madrid,Elber kawaua,na akaenda kula 2-1 nakumbuka Jens Jeremies alilipiza kisasi cha kujifunga msimu ulioisha semi final 2000 vs Real pale bernebeu walipochapwa 2-0 na Anelka alifunga kwa Real marudiano japo walishinda Bayern 2-1 Anelka aliwafungia Real bao pekee na wakapita kwa 3-2 jumla na kuingia final vs valencia wakashinda 3-0 na kubeba ubingwa Real Madrid, maana ktk makundi Real alipigwa 4-1 Munich,4-2 Madrid kabla,na kupita wote Real akaja kumchapa Man Utd 3-2 kwao trafford baada 0-0 bernebeu,sasa safari hiyo 2001 ktk semi bayern akalipa kisasi kwanza kwa man utd ile 1999,halafu akaja real nae akala 1-0,2-1 Figo aliwafungia bao la kufitia machozi kule Munich,final wakamfunga valencia kwa penati,valencia enzi hizo gaidzka mendieta zabala,pablo aimar,zlatko zahovic,john carew,reuben baraja,alberda,miguel angelo angulo,joseph angloma,santiago canizales golini,kily gonzalez na kina claudio lopez alienda lazio yeye na ortega akaenda parma,gerard lopez akaenda barca,barca ilichezea 4-1 ktkt nusu final 2000 pale mestalla kina Figo,Luis Enrique,Rivaldo,Dani Garcia Lara,Kluivert,Pep Guardiola,Xavi enzi hizo chipukizi chini ya kocha wao Louis Van Gaal(kocha wa Bayern sasa)wanashangaa,ulimwengu ulistaajabu maana barca alitoka kumchapa chelsea 5-1 nou camp baada ya kuchapwa 3-1 darajani,Rivaldo akaapa chelsea licha ya kushinda kwao wakiwatoa anaacha kucheza mpira,nimemkumbuka pia Mario Jardel de Almeida Ribeiro,huyu nae ni mbrazil ambae anakumbukwa kule ureno kwa kuweka rekodi ya kufunga mabao mengi akiwa na FC Porto alivunja rekodi ya kuwa mfungaji bora kule Ureno na ulaya kwa ujumla kwa kuunganisha ligi zote kwa miaka 3 mfululizo,aliemfuatia kwa magoli kule ureno yani wa pili aliachwa kwa tofauti ya magoli 20,yeye nadhani +-35,kisha anakuekuja 17,akaenda Galatasaray akabeba nao super cup kwa kumfunga Real Madrid,wao walikuwa mabingwa wa uefa cup1999-2000,Real walikuwa mabingwa champions ligi 1999-2000,ila yeye Jardel hakuwepo msimu wanabeba Galatasaray uefa cup 1999-2000 alikuwa bado yupo Porto,alipoenda Galatasaray mwezi june 2000,akakutana na kina Hakan Sukur,Umit Davala,Popescu,Hasan Sas,Emre Asik,Georghe Hagi na Emre (alienda Inter na Newcastle baadae)
Arsenal walifungwa na hawa kwa penati ktk uefa cup 1999-2000 kule Copenhagen,Denmark katika fainali,Vieira alipoteza penati ya mwisho.
Arsenal walifungwa na hawa kwa penati ktk uefa cup 1999-2000 kule Copenhagen,Denmark katika fainali,Vieira alipoteza penati ya mwisho.