Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pogba lilikuwa kosa kubwa acha tu,kutoka moyoni niliumia sana alivyoondoka. De Gea Madrid wanamzingua sana kama anaona bora asepe wacha aende tu, kila jambo na majira yake katufaa wakati uliokuwa mbaya yatosha na sisi tutakuwa tumeimarika hasa majira ya joto tukifanya usajili mzur.

Mkuu hapo kwenye nyekundu naomba kutofautiana na wewe, unakumbuka De gea alipokuja alivyokua anachechemea mpaka wakaanza kumdoubt ila taratibu akaanza kuingiza gear kubwa kubwa mpaka sa hivi ni top classic. Hatuwezi fanya michezo ya Arsenal ya kuzitengenezea timu kubwa wachezaji, kwa gharama yeyote dogo abaki kama alivyofanywa Rooney.
Kumbuka alivyoondoka Schmiechel tulivyostruggle kupata mbadala wake, Mungu saidia tukampata Van der sar baada kuangaika na magalasa mengi, right now tumempata huyu dogo ambae kabisa anauwezo wa kuvaa viatu vya hawa jamaa we can let him go kwa kweli, wakati huu sio wa kuanza kujaribu wachezaji tunasuka kikosi especally back players.
 
Mkuu hapo kwenye nyekundu naomba kutofautiana na wewe, unakumbuka De gea alipokuja alivyokua anachechemea mpaka wakaanza kumdoubt ila taratibu akaanza kuingiza gear kubwa kubwa mpaka sa hivi ni top classic. Hatuwezi fanya michezo ya Arsenal ya kuzitengenezea timu kubwa wachezaji, kwa gharama yeyote dogo abaki kama alivyofanywa Rooney.
Kumbuka alivyoondoka Schmiechel tulivyostruggle kupata mbadala wake, Mungu saidia tukampata Van der sar baada kuangaika na magalasa mengi, right now tumempata huyu dogo ambae kabisa anauwezo wa kuvaa viatu vya hawa jamaa we can let him go kwa kweli, wakati huu sio wa kuanza kujaribu wachezaji tunasuka kikosi especally back players.

Ni kweli mkuu ulichosema ni sahihi kabisa, uongozi umejitahidi kumlinda kwa kumpa dau kubwa na akiaccept the offer atakuwa ni kipa anayelipwa zaidi England na kama siyo duniani(nisahihishe kama nakosea) hilo ni jambo nzuri sana, lakini kama LVG alivyosema bado mwenye maamuzi yote ni DDG mwenyewe abaki au aondoke. Kama DDG akakataa offer akaamua kusepa unafikir tufanyaje zaidi ya hilo? Ipo hatari pia ya kulazimisha mchezaji abaki atakuwa anafanya madudu tu na kuwa mzigo kwa timu. Mimi naona asilazimishwe kama hataki....... tutainuliwa tu Musa mwingine.
 
Ni kweli mkuu ulichosema ni sahihi kabisa, uongozi umejitahidi kumlinda kwa kumpa dau kubwa na akiaccept the offer atakuwa ni kipa anayelipwa zaidi England na kama siyo duniani(nisahihishe kama nakosea) hilo ni jambo nzuri sana, lakini kama LVG alivyosema bado mwenye maamuzi yote ni DDG mwenyewe abaki au aondoke. Kama DDG akakataa offer akaamua kusepa unafikir tufanyaje zaidi ya hilo? Ipo hatari pia ya kulazimisha mchezaji abaki atakuwa anafanya madudu tu na kuwa mzigo kwa timu. Mimi naona asilazimishwe kama hataki....... tutainuliwa tu Musa mwingine.

Mchezaji akitoka Spain akaenda nchi nyingine uwe na % ya yeye siku moja kurejea kwao ikiwa ataperfome vizuri huko alikoenda

Huyu si wa kwanza kulilia kurejea kwao usikute ndoto yake ilikuwa Real madrid alikuja manure kutengeneza jina tu
 
RIP m.r.s Rio Ferdinand, bonge la msiba limewafikia old trafford(indirectly off-course )
 
10330365_10152937001752746_4412371467336932064_n.jpg
 
Leo nipo makini sana na miwan ya kuzoom mpaka nigundue tatizo linalokumba man u lipo wapi
 
Back
Top Bottom