Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Nakubaliana na wewe. Jamaa ana-jealousy fulani dhidi ya Wenger especially relationship na support aipatayo Wenger toka kwa the top management. Alishasema mara kadhaa kwamba Arsenal ni moja ya timu zinazoendeshwa vizuri. Anatamani angepata nafasi ya kuwa supported na mabosi wake sema domo lake huwa linamwangusha kabla ya miguu yake kujikwaa. Mourinho mpaka sasa anajua kuwa kati ya timu kubwa England ni Chelsea(kama inahesabika kuwa ni moja ya timu kubwa) na Man City anapoweza kupewa ukocha. Ameshagundua kuwa hawezi kupata kazi Old Trafford labda itokee Sir Alex Ferguson afe vile vile atasubiri Wenger afe ndio apate kazi Emirates. Kifupi Wenger na Fergie wataendelea kuwa na internal influence ndani ya Man Utd and Arsenal respectively hadi watakapokufa. Vile vile Arsenal hawana mpango wa kutumia pesa kijinga jinga. Liverpool nako sijui kama watampa kibarua. Nina uhakika next employer wa Mourinho atatokea France.
Na morinho anajua wazi kuwa Chelsea ni timu ndogo yenye bosi mwenye pesa na haina mashabiki loyal wakati United na Arsenal ni timu kubwa zenye pesa na zina mashabiki loyal. Na anajua hawezi kupewa kazi huko.