Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Last edited by a moderator:
Ntuzu hawa jamaa hako kapicha cha Mourinho kujificha sijui wamekatoa wapi wapinzani wanakapenda sanaMuachani Mourinho wangu....
Ntuzu hawa jamaa hako kapicha cha Mourinho kujificha sijui wamekatoa wapi wapinzani wanakapenda sana
Sn aisee ata everlenk anakapenda sn...we si umemuona kakaona tu fasta akaniita lol....
Nimemuona amekachangamkia kweli, we mwache tu, baadae hakatakuwa na nafasi hako kapicha
Huyu nimewaachia wewe na b5-click ndio mnamuweza.........mi naogopa kununiwa lol....!
Usijali mkuu, atatulia tu huyu we mwache sasa hivi nafasi anayo, japo najua anatetemeka hapo halipo mbaya kabisa.....baadae ikiwezekana mtafute uwe nae karibu na diclopa uwe nazo.
Usimsikilize Ntuzu mm naipenda hivyo picha kwasababu imefanana na avatar yake na jinsi alivyo humu jukwaani napata imagination kibao kwamba huenda ndiye Mou mwenyewe wa bongo, Lol
Usijali mkuu, atatulia tu huyu we mwache sasa hivi nafasi anayo, japo najua anatetemeka hapo halipo mbaya kabisa.....baadae ikiwezekana mtafute uwe nae karibu na diclopa uwe nazo.
Man United 1-0 Newcastle
Man United 2-1 Liverpool
Man United 3-1 Aston Villa
Man United 4-2 Man City
Man United 5-? Chelsea
Hahahahahaha!!!! Watu mko makini hadi rahaaaa:thumbup::thumbup::thumbup:
Hahahahahah
Man United 5-6 Chelsea
Bora hata umekuja dear wao ndo wananisumbua mimi mtulivu kabisaa eti wanasema leo ntalivunja daraja halafu wao wakaishi wapi??..... Lol
Kwani dear sikio huwa linazidi kichwa?.......
chelsea 2 man u 1