Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi ninachoamini ni kwamba haijalishi nani atacheza nani hatacheza ila kesho ushindi lazma mkuu.....cha muhimu tuwaombee kwa kweli...... MUNGU BARIKI MAN U

Kuna hatari kesho MAN U tukachinjiwa baharini manake record yetu siyo nzuri dhidi ya huyu jamaa hasa anapokuwa kwenye makazi yake.
 
Kuna hatari kesho MAN U tukachinjiwa baharini manake record yetu siyo nzuri dhidi ya huyu jamaa hasa anapokuwa kwenye makazi yake.

Mkuu wew ni MAN U kweli? Mbona unakata tamaa mapema sana?? Don pretend lik that..... tutakamilisha point 68 au 66 kesho kwa imani na Mungu atakuwa upande wetu
 
ImageUploadedByJamiiForums1429297737.706590.jpg
 
Hahahahahah... 5-0 zinawahusu.. Falcao!? Young amejulia wapi kudefend.. Hapo CB ndo hamna kitu.
Sio kirahisi...hivyo...mlishindwa kutunga hizo tano msimu uliopita tukiwa wachovu ndio mje....kutufunga...sasa...
Hicho kikosi ni potential line yawezekana kocha akaja na approach tofauti...
 
Smalling kukaba hajui... McNair kuwa beki wa mwisho ni kumtafutia lawama.

Rooney peke yake mbele ya JT na Cahil/Zouma.. Kwani amekua Drogba /Costa!??😱😕😱:what::what:

Hahahahahah... 5-0 zinawahusu.. Falcao!? Young amejulia wapi kudefend.. Hapo CB ndo hamna kitu.

Huu upande wa Valencia na Mata ndo ule upande wa fundi wangu (Hazard) na beki ambaye kazi yake ni moja tu Kuwa kisiki.....hakika huu upande ni mtamu sana

Kwendraaaaaaaaa mnamtisha nani sasa..... Lol. . ........ haohao mnaowadharau ndo watawafunga... .
 
Kwendraaaaaaaaa mnamtisha nani sasa..... Lol. . ........ haohao mnaowadharau ndo watawafunga... .

Najua Valencia akipanda anaenda Kupiga cross dongo ambazo ni mbaya sana, ila sasa mpaka apate nafasi ya Kupiga hiyo cross dongo mbele ya Azpilicueta roho mbaya ni tabu....na kipanda tu dogo akachua mpira Hazard anahesabu ...
 
Najua Valencia akipanda anaenda Kupiga cross dongo ambazo ni mbaya sana, ila sasa mpaka apate nafasi ya Kupiga hiyo cross dongo mbele ya Azpilicueta roho mbaya ni tabu....na kipanda tu dogo akachua mpira Hazard anahesabu ...

Kucheza kinywani rahisi sana wewe subiri tunahesabu masaa hutaamini macho yako........
 
Back
Top Bottom