Mimi ninachoamini ni kwamba haijalishi nani atacheza nani hatacheza ila kesho ushindi lazma mkuu.....cha muhimu tuwaombee kwa kweli...... MUNGU BARIKI MAN U
Lakini kusema ukweli kutoka moyoni record yenu MAN U siyo nzuri dhidi ya hawa jamaa nikuomba mungu yasiwafike mabaya.