everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Asante sana mfarisayo kwa hii article labda itainua mioyo ya watu ambao wanaona kushindwa tu,najua haitakuwa kazi rahisi na ni pengo kubwa kumkosa Carrick na hao viungo wengine, lakini naamini ushindi ni lazima whatever the case.....
Pengo la Carrick linaweza kuzibwa na Herrera kwa kiasi kikubwa shida zaidi ni mabeki Phil Johns na Rojo wote kukosekana. Binafsi naona ni bora Young arudi kucheza beki 3 na nafasi yake ichukuliwe na Di Maria ili Luke Shaw aende kucheza katikati na Smalling
Heee Ntuzu kwani kuna msiba hapa!!! Majeruhi ni kawaida kwenye timu!! Come on I don't like that words!!!!.......
Nimetoa pole kwasababu ninaona mnapanga Na kupangua.....mnatiana moyo na kufarijiana....
Anyway natengua kauli yng!
Mmesahau ninyi wiki nzima hii yote mlikuwa mnafanya nini ?? Si mlipanga na kupangua weeee mkageuka kuwa Mou, mkatiana moyo mkafarijiana mkapeana maconfidence kibao, kwahiyo sisi leo kufanya hivyo ndo tushakuwa nongwa eh? Mm niliwajibu pangeni muwezavyo lakini ushind lazima, hata hapa mimi sijasema kabisa kikosi changu ni kipi ambacho kinafaa sina wasiwas kabisa, asante kwa pole yako but we don't deserve it,we are the winners............sorry my lovely boy kama nimekukwaza.
Heee Ntuzu kwani kuna msiba hapa!!! Majeruhi ni kawaida kwenye timu!! Come on I don't like that words!!!!.......
Una maneno ya kishujaa wewe
Mmesahau ninyi wiki nzima hii yote mlikuwa mnafanya nini ?? Si mlipanga na kupangua weeee mkageuka kuwa Mou, mkatiana moyo mkafarijiana mkapeana maconfidence kibao, kwahiyo sisi leo kufanya hivyo ndo tushakuwa nongwa eh? Mm niliwajibu pangeni muwezavyo lakini ushind lazima, hata hapa mimi sijasema kabisa kikosi changu ni kipi ambacho kinafaa sina wasiwas kabisa, asante kwa pole yako but we don't deserve it,we are the winners............sorry my lovely boy kama nimekukwaza.
Usijali mkuu kesho tunawachinja
Hahaha jipeni moyo mou siyo mrahisi kihivo
Meona e lazma wajue kutofautsha kat ya lunch na dinner
Eli79 bana!! kawaida sana... Nimekwambia kesho hakuna draw ni ushindi tu... Na Man U ndo mshindi, kesho utaangalia yetu au yenu???I see. Naona joto linazidi kupanda. Pande zote mbili zinataka kuonyeshana umwamba nje ya nyasi. Lakini mwisho wa siku ni 0-0, 1-1,.....
Mimi ninachoamini ni kwamba haijalishi nani atacheza nani hatacheza ila kesho ushindi lazma mkuu.....cha muhimu tuwaombee kwa kweli...... MUNGU BARIKI MAN U