Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Hamna ki2 kama hcho lvg hana michezo ya kujihami kama mou, Na kikoc kitakuwa vile vile2, hakuna mabadiliko labda Jones apumzike ili rojo acheze
Pangeni kikosi hicho hicho muone kz!
Hamna ki2 kama hcho lvg hana michezo ya kujihami kama mou, Na kikoc kitakuwa vile vile2, hakuna mabadiliko labda Jones apumzike ili rojo acheze
Pia ua kabisa....
Kuna uwezekano mkubwa wa LvG kumuweka Phil Jones pacha Wa Carrick jmosi ili kuweka nguvu kwa kati hasa baada ya kuona Chelsea kila upande iko imara...
Tayari LvG anaweweseka
Ajabu na kweli sikuhizi Arsenal mmekuwa mashetani washika bunduki??
Sisi ni washika bunduki wa London lenk. Kwani hukulijua hilo?
Natabiri 0-0, 1-1, 2-2, 3-3,.....katika mlolongo huo. Nawe toa utabiri wako ukiwa kama mnazi wa "Old Trafford!!!"
Jaribu kufuatilia record ya Morinyo vs ya Manure tangia Morinyo akiwa fc poto. alipohamia Chelsea. Madrid na baada ya kurudi tena Chelsea alafu baada ya hapo urudi hapa utupe jibu.
Angalia picha vizuri...... Nyie ni washika bunduki sawa kabisa lakini mmekuwa mashetani pia lol
Ngoja nikwambie kuhusu United na kwann tunasema tutakupiga?
1. Sisi sio favorite wa kuchukua kombe, so hatuna cha kupoteza. Kwanza tulianza league kama underdogs mkisema united ataishia nafasi ya saba kama kawaida yetu. Management ya united ikamwambia Van Gaal kuwa ili tusipoteze 30% ya deal ya addidas basi mwaka huu tuingie top 4 kwanza. Na hili ndo lengo letu toka mwanzo.
2. Mechi yenyewe: nyie mtakuja na tension na panic kwenye hii mechi ambayo mtataka kwa udi na uvumba mshinde, so hakutakuwa na umakini hapo ninaona watu wa kucheza kwa kupanic wakati sisi tunakuja kucheza mpira, tutatulia tuchukue ushindi.
3. Nafasi ya kuchukua kombe: sisi tuna 30% ya kuchukua kombe endapo tukashinda mechi zote. Huku tukitegemea wa juu wapoteze na kudraw mechi nyingi sana. Arsenal ana nafasi ya 50% na Chelsea ana 70% percent. Mechi ya sisi na nyie ndo itapunguza au kuongeza nafasi yenu ya kuchukua ubingwa. Kwahyo mjipange sana.
4. Nafasi ya wachezaji, mna wachezaji sana ambao ni very average, na wachache ni wale world class. Benchi lenu lipp very narrow for choices wakati sisi tumejaza wachezaji lukuki ambao ukawachukua na wakafanya kitu uwanjani.
Ntuzu usijiamini sana kwanza kushinda mechi yetu na kuchukua ubingwa. Sasa hivi race imekuwa too tight my bro si kama unavyosema na mbaya zaidi siku hizi kadiri mnavyokwenda mnazidi kuchuja na kuvurunda. Sijui wachezaji wanachoka? Au tatizo ni nini brother!?
Usishangae mwisho wa siku akachukua hata man city au arsenal. Unakumbuka ule mwaka ambao man city walichukua ubingwa dakika ya 93? Kwa bao la aguero? Wakati tulikuwa tumewapita almost points 10 na wakaja kutupita almost points 10 mwisho wa siku wakaja kubalance.
Ukifatilia wachambuzi Wa soka duniani....mpk sasa wengi wanamuona Mourinho kua ni bingwa Wa mbinu Na mikakati hasa km ligi inaelekea mwisho Na anakutana Na game kubwa namna hii....
Na wengi wanasema Chelsea kupata sare hilo swala liko ktk uwezo wao kwa asilimia 100 Na si ManU kuishinda Chelsea.
Kwahiyo Mkuu hawa kina kitwala unawaacha waongee tu.
Mechi kati ya Man U vs Chelsea.
Ngoja nikwambie kuhusu United na kwann tunasema tutakupiga?
1. Sisi sio favorite wa kuchukua kombe, so hatuna cha kupoteza. Kwanza tulianza league kama underdogs mkisema united ataishia nafasi ya saba kama kawaida yetu. Management ya united ikamwambia Van Gaal kuwa ili tusipoteze 30% ya deal ya addidas basi mwaka huu tuingie top 4 kwanza. Na hili ndo lengo letu toka mwanzo.
2. Mechi yenyewe: nyie mtakuja na tension na panic kwenye hii mechi ambayo mtataka kwa udi na uvumba mshinde, so hakutakuwa na umakini hapo ninaona watu wa kucheza kwa kupanic wakati sisi tunakuja kucheza mpira, tutatulia tuchukue ushindi.
3. Nafasi ya kuchukua kombe: sisi tuna 30% ya kuchukua kombe endapo tukashinda mechi zote. Huku tukitegemea wa juu wapoteze na kudraw mechi nyingi sana. Arsenal ana nafasi ya 50% na Chelsea ana 70% percent. Mechi ya sisi na nyie ndo itapunguza au kuongeza nafasi yenu ya kuchukua ubingwa. Kwahyo mjipange sana.
4. Nafasi ya wachezaji, mna wachezaji sana ambao ni very average, na wachache ni wale world class. Benchi lenu lipp very narrow for choices wakati sisi tumejaza wachezaji lukuki ambao ukawachukua na wakafanya kitu uwanjani.
Ntuzu usijiamini sana kwanza kushinda mechi yetu na kuchukua ubingwa. Sasa hivi race imekuwa too tight my bro si kama unavyosema na mbaya zaidi siku hizi kadiri mnavyokwenda mnazidi kuchuja na kuvurunda. Sijui wachezaji wanachoka? Au tatizo ni nini brother!?
Usishangae mwisho wa siku akachukua hata man city au arsenal. Unakumbuka ule mwaka ambao man city walichukua ubingwa dakika ya 93? Kwa bao la aguero? Wakati tulikuwa tumewapita almost points 10 na wakaja kutupita almost points 10 mwisho wa siku wakaja kubalance.
Uchambuzi mzuri sana.
Post bora ya mwaka 2015.
Kesho siyo mbali, tatizo mmeweka matumaini makubwa sana kwa msema ovyo badala ya kuiangalia timu yenu kwa mechi za hivi karibuni.
Mnashindwa kukumbuka kuwa Mou alikuwepo misimu minne kabla ya kutimukia Intermilan lakini hakubeba EPL ktk hiyo misimu yote.
Alichukua 2004/2005 na 2005/2006 tu
2006/2007 likarudi nyumbani hadi alipokuja kuikimbia timu.
Na alipotua Intermilan tulikutana naye knockout stage CL tukamtoa. Akiwa RM katupiga game moja(Luis Nani akipewa red card), game ya kwanza alilazimisha sare.
Amerudi epl kacheza na Moyes game 2 kashinda 1(hat-trick ya Etoo) nyingine ilikuwa sare (ktk epl).
Msimu huu tumekutana mara 1, mkapak bus game ikaisha 1-1.
Kesho tutajua mbivu na mbichi kama Mou ni bingwa wa mbinu bas athibitishe hiyo kesho.
NB: Akipaki bus tutamuua vibaya maana hii ndiyo mbinu pekee aliyonayo.
Natabiri 0-0, 1-1, 2-2, 3-3,.....katika mlolongo huo. Nawe toa utabiri wako ukiwa kama mnazi wa "Old Trafford!!!"