Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man U ya hovyo hovyo ya beki akina Blackett hukumfunga ndiyo awe Man U huyu aliye pick up ?

Kumbuka kipindi hicho Chelsea alikuwa kwenye kiwango kikubwa sana cha Costa na wenzake!Nimewaona na Stoke na QPR aibu tupu!Mnategemea makipa wafanye makosa mfunge

Drogba hawezi msunbua beki Jones hata wacheze dakika 300»»»fact


Tulikwenda OT bila ya Costa na huyu huyu Drogba unaemzarau akatupia...au unajifanya umesahau?

Hiyo pick ya ManU ni kwa timu yako tu na man city lkn juzi tu Arsenal kuwapiga hawa ManU na kikosi hichi hichi kilichokupiga wewe tena OT kwao...sasa ndio ije itutishe sisi tuna kila kitu alafu tuko home?!!?

Mtasubiri sn aiseee.
 
10464346_765654560220836_4663778111591847085_n.jpg


#plasticFANS
 
Man U ya hovyo hovyo ya beki akina Blackett hukumfunga ndiyo awe Man U huyu aliye pick up ?

Kumbuka kipindi hicho Chelsea alikuwa kwenye kiwango kikubwa sana cha Costa na wenzake!Nimewaona na Stoke na QPR aibu tupu!Mnategemea makipa wafanye makosa mfunge

Drogba hawezi msunbua beki Jones hata wacheze dakika 300»»»fact

Safiiiiiiiiiii,kaka yangu unatumia kinywaji gani hapo nikutumie kwa m-pesa........
 
Tulikwenda OT bila ya Costa na huyu huyu Drogba unaemzarau akatupia...au unajifanya umesahau?

Hiyo pick ya ManU ni kwa timu yako tu na man city lkn juzi tu Arsenal kuwapiga hawa ManU na kikosi hichi hichi kilichokupiga wewe tena OT kwao...sasa ndio ije itutishe sisi tuna kila kitu alafu tuko home?!!?

Mtasubiri sn aiseee.

Wewe bado kidogo tutaheshimiana..............
 
[quote name="everlenk" post=12414964]Nafanya kazi ya ulinzi nililala nikaamka hii ndo mida ya wezi inabidi niwe macho kweli kweli,lol
<br />
<br />
<br />
Heeee kweli aisee....mida hii wanajua kua watu wamelala fofo. Ngoja nikupigishe story huku ukiwa unalinda.<br />
<br />
City wanakuja kukufunga j2 na uzuri michezo ya j2 tunaanzia Wa kwetu then tunakuja wenu!<br/

Rejea post 3036[/QUOTE]

Safiii, watu mko makini humu hadi raha........ Ntuzu unalo hilo!!
 
Last edited by a moderator:
Unaizungumzia utd hii ambayo..
Da gea anafanya kazi za mabeki.. Mabeki wamegeuka viungo... Akina Fellaini ndo wamekua washambuliaji... Washambuliaji wamekua mashabiki... Akina falcao na RVP kazi kushagilia magoli ya mabeki... Mashabiki wenyewe mnafanya kazi ya van Gaal... Van Gaal kazi kubeba mavitabu makubwaaa kama anafundisha udaktari...

Hahahahahah... Karibuni darajani wazeee

Yaani tutaheshimiana tu......
 
Messi amekufa!?? Maana hata akitundika daluga bado anastahili kuchukua mbele ya young...
EDEN HAZARD "MAJANGA".. CR7..!!

Kama vipi apewe David De gea.. Beki bora huyu wa everlenk... Hahahahahah

Hayaaa bana mimi kimya, the time will tell .......
 
Last edited by a moderator:
Nipo Ikwiriri shamba dada huku huduma hizo hamna!Ukiwa na shida tunakopa kwa Mwenyekiti utarudisha ukivua uduvi

Lkn najua hautapenda tena ukutane na Majogoo hata ww

Hahahaha!!! Tikiti maji usisahau utakapokuja mjini, bahati mbaya msimu huu haijirudiii tena msimu ujao tukutane labda unaweza lipa kisasi kwa sasa mlango umefungwa.
 
attachment.php


Hahahaha ... haya sasa jamaa keshagonga hodi

Hapo kuna option mbili.....

1: Fungua mlango jamaa atumie shoka lake kistarabu kwako au 2: Kataa kufungua mlango jamaa atavunja mlango kwa nguvu na kutumia shoka lake kwako katika hali ya kutisha sana

Ushauri wangu kwa Chelsea : mnachotakiwa kufanya wekeni mabeki wengi na viungo wengi kama vipi msiweke mshambuliaji, mpira ukianza tuu pakini bus,treni,meli mpaka mpira utakapoisha ili matokeo yawe ya kuheshimika kwenu kwa kufungwa kwa tabu.

Mkijifanya kupanda na kushambulia, baada ya mechi kila washabiki wa timu zingine watakuwa wanawacheka kwa dhahama itakayowakuta

Asante Bulldog kwa picha
Ntuzu ushauri huu uchukueni na muufanyie kazi, hata Malafyale keshakutahadharisha kuhusu hatari ya kucheza na timu bora Man Utd kwa sasa.
 
attachment.php


Hahahaha ... haya sasa jamaa keshagonga hodi

Hapo kuna option mbili.....

1: Fungua mlango jamaa atumie shoka lake kistarabu kwako au 2: Kataa kufungua mlango jamaa atavunja mlango kwa nguvu na kutumia shoka lake kwako katika hali ya kutisha sana

Ushauri wangu kwa Chelsea : mnachotakiwa kufanya wekeni mabeki wengi na viungo wengi kama vipi msiweke mshambuliaji, mpira ukianza tuu pakini bus,treni,meli mpaka mpira utakapoisha ili matokeo yawe ya kuheshimika kwenu kwa kufungwa kwa tabu.

Mkijifanya kupanda na kushambulia, baada ya mechi kila washabiki wa timu zingine watakuwa wanawacheka kwa dhahama itakayowakuta

Asante Bulldog kwa picha
Ntuzu ushauri huu uchukueni na muufanyie kazi, hata Malafyale keshakutahadharisha kuhusu hatari ya kucheza na timu bora Man Utd kwa sasa.


Hahahaaa yani nikipita humu najikute nacheka tu....kweli mashabiki Wa ManU mmefufuka.

Msimu uliopita mdudu Nzi alikua anakomaa peke Yake...na ata mwanzoni mwa huu msimu mlikua wapole lkn sasaivi duh....ata mitaani ni vurugu...maofisini ni vurugu...humu Jf ndio usiseme...kila notification nayopata ni iko kwa michezo tu....safi sn lkn na inapendeza sn tu kua na maneno hivi.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa yani nikipita humu najikute nacheka tu....kweli mashabiki Wa ManU mmefufuka.

Msimu uliopita mdudu Nzi alikua anakomaa peke Yake...na ata mwanzoni mwa huu msimu mlikua wapole lkn sasaivi duh....ata mitaani ni vurugu...maofisini ni vurugu...humu Jf ndio usiseme...kila notification nayopata ni iko kwa michezo tu....safi sn lkn na inapendeza sn tu kua na maneno hivi.

Baba yako Mournhio ndo katufundisha kuongea, kufunga raha sana yaani unatembea kila mahali kwa raha....... Sisi tuna maneno lakini hayajafika ya kwenu...... Mlitunyanyasa sana Mara vibonde, mtaa wa 7,tumeshuka daraja, new trafford n.k .......wacha tupige kelele tu.....tarehe 18 tunafunga kazi. Lol
 
Last edited by a moderator:
Baba yako Mournhio ndo katufundisha kuongea, kufunga raha sana yaani unatembea kila mahali kwa raha....... Sisi tuna maneno lakini hayajafika ya kwenu...... Mlitunyanyasa sana Mara vibonde, mtaa wa 7,tumeshuka daraja, new trafford n.k .......wacha tupige kelele tu.....tarehe 18 tunafunga kazi. Lol

Tofauti ya Man Utd na Chelsea ni Hii

Chelsea : Maneno Mengi Mno tena mno, wanashinda katika mazingira ya ajabu ajabu, mashabiki hawapati burudani nzuri wakati Chelsea wakiwa wanacheza na la mwisho Chelsea wanajisifia kuwa wao ni wabaguzi na wanapenda hali hiyo {Ushahidi Upo}

Man Utd: Maneno kidogo ya kuchangamsha jamii, wanashinda inavyotakiwa hata anayefungwa anakubali kuwa alistahili kufungwa kwa sababu alizidiwa, mashabiki wanaolipa hela zao kwenda uwanjani, waliolipia vingamuzi na wanaokwenda sehemu kuangalia mpira kwenye TV wanaridhika na mpira unavyotandazwa Man Utd wakicheza
 
Baba yako Mournhio ndo katufundisha kuongea, kufunga raha sana yaani unatembea kila mahali kwa raha....... Sisi tuna maneno lakini hayajafika ya kwenu...... Mlitunyanyasa sana Mara vibonde, mtaa wa 7,tumeshuka daraja, new trafford n.k .......wacha tupige kelele tu.....tarehe 18 tunafunga kazi. Lol



Hahahaaa mtani na wewe unafunguka hivi? Ngoja nikuitie b5-click maana yeye ndio anakuweza....akianza na De Gea anafanya kz ya mabeki...mabeki wanafanya kz ya viungo...viungo wanafanya kz ya kufunga ya mastrikers...mastrikers wanafanya kz ya mashabiki ya kushangilia...mashabiki wanafanya kz ya ukocha kupanga timu gani icheze na kocha LvG kz Yake kubeba mavitabu makubwa km anafundisha udaktari......hahahahaaaaa b5-click we kiboko Mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom