Na saasaa natoa tamkoo sasaaa!!!!
Mpuuzii mmojaaa,,mjingaa mmojaa,,asiefaa mmojaa ,,anaitwa MAN CITY ambaee ni bingwa mtetezi wa EPL
kwa sababu ya kulaa chakulaa chakee amecheza hovyoohovyoo.... na kocha wake analia ovyo ovyo... sijui alikula maharage ya wapii yulee??!!! Timu zinginee zoote zimefungwa na makocha hawakulia lakini yeye akabwayabwaya ,,akalewalewaa
Analialia yuleee
amefungwa yule mjingaa yulee,,
hafaii yulee,,,sjui karogwa na nani yulee??... Haiwezekani achezee NNE tu
Alafu analia,
Nilikuaa namuamini mimi ..
sasaaa simuamini tenaaaa!!...
na ninamtangaziaa hilii....
na kila timu yenye akili timamu iwe chelsea, iwe arsenal ama crystal palace Usimuaminii Pellegrin
kwa sababu kajishushiaa heshima mwenyeweee..!!Timu zinginee zoote ikiwemo chelsea, ikiwemo lens, ikiwemo Madrid,,ikiwemo Shefield Utd woote wamecheza vizuri na wameshindaa... Agghhrr!!! Muheshmiwa Pellegrin,,
pokeaa ujumbe wangu leoo..hufai kabisaaa na kama ingewezekana unusicheze UEFA kabisaa maaana Umechoka, Hufai Pellegrin
ondoka Pellegrin kalaleee pellegrin huu ni wakatii wa KUTAFUTAAAA WATAKAOSHIRIKIIII UEFA !!!!!:bange::bange::bange: wiiwiiiiii,,,wiwiiiii,,wiii..!!!!!! Kama ww ni man city nawe umerogwa vile vile..,,basi kama yanakuuzi hayo kashitaki kwa Kashitaki FA Lakini mimi nasema hufaai,,inawezekana umefilisika,,inawezekana umekwishaa,,inawezekana umezeeka,
Umeaibisha Ligi ya UINGEREZA Chelsea; man city anawaaaibisha,,Man utd; man city anawaaibisha,,arsenal; man city anawaaibisha MAN CITY umeaibishaaaaaa!!!! Umekua kama Timu ndogo ilioshuka daraja isiojua la kufanyaa.. uuhhh..uhhh..uhhh..
Baaasii sasa,,,ujumbe umefika sasaaa,,roho imeuliaa sasaa..sasa tunaweza kutulia tena leo sasaaa nimempa vidonge vyake sasa!!nimempa shilingi zakee sasaa!!!!Nimeona kuendeleaa kuangalia mpira leo huku nimemkopesha haifai!!nimemlipa cash!!sio kwa installment,, Aaaa roho imesuuzika sasa,
Huu ni wakati wa makavuuu liveeeeeeeeee
Hu hu hu huuuuuuuuuu