Nakwambia hivi Matic atapewa pacha wake ktk hawa wawili, Obi au Zouma... Alafu pale nyuma ya Remy atakuwepo Faby.
Na ili kukata nguvu yenu kabisa..Willian ataanzia benchi na huo upande atacheza Ramires.. Kz kwake Mata na Blind huo upande! Yani nyie mtawekewa timu ngumu km chuma cha pua.
Alafu natanguliza pole kwa Valencia maana siku hiyo Hazard atamtengua nyonga!
Chelsea kwa sasa ipo hoi mechi nyingi mnachomoka kwa shida sana gem ya Hull na QPR mlikuwa hoi sana
Tunajua ni kwanini hivi vitimu vidogo vibishi...lkn jambo zuri ni kwamba tumeshida.
Tunakusubiri wewe timu kubwa uje uone kz.
Wakuu vipi kuhusu kuumia kwa Carrick? je maumivu makubwa au kawaida tu? maana yule jamaa ndio roho ya kiungo
Hamna lolote nyie Chelsea kwa sasa one man timu tegemeo lenu ni Hazard tu wengine wote wa kawaida, na huyo Hazard siku hiyo hapiti kokote. Nakushangaa unataja wachezaji takataka kama Remy, hivi Remy naye ni mshambuliaji wa maana katika EPL????
Timu yenu imeshachoka na kocha wenu hana plan B kizuri ni kwamba mlishinda game nyingi mwanzo, Man United kwa sasa timu imetulia idara zote. Young, Mata, Rooney, Fellaini, Herrera wote wanafunga magoli
Mkuu Company mbeleko ile, pale refa hakutaka kuharibu mchezo maana wangepata cha kujitetea.
Yamkute ya Steve Gerrad, nani hamfahamu Herrera.
Wakuu vipi kuhusu kuumia kwa Carrick? je maumivu makubwa au kawaida tu? maana yule jamaa ndio roho ya kiungo
Hongereni Man Utd wenzangu..Safi sana chama letu!!
OK tulishinda game nyingi za mwanzo na sasa tumepoteza game ngapi za mwishoni? Mbona mnaingea tu?!
Hao uliowataja utawaona mizigo wote Belo...
Mou yupo kimya tu anakupangia timu kz...na uzuri ni kwamba hakutakua na maneno ya shombo kati ya Mou na LvG...lkn km LvG akianza Mou atarusha dongo mpk huyo Mzee LvG ataomba poh! Chezea Mou wewe?
Tatizo uko kwenye unazi zaidi kuliko hali halisi, angalia performance yenu tangu game na PSG,angalia na performance ya Man United mechi za karibuni.