Angalia alichosema leo
[h=1]Former Arsenal star Paul Merson: Why Liverpool will BEAT Man Utd[/h] PAUL MERSON believes Liverpool's pace up front will cause too many problems for Manchester United's defence to cope with.
Huyu jamaa nikimuona kwenye TVyupo kama pundit wakati Man Utd wanacheza straight away ninabadilisha channel, jamaa hana kingine anachoongea zaidi ya kuikandia Man UTD
Mbona ni juzi kati tu Sholes alimponda Lvg kuhusu playing system anayotumia kuwa sio Manchester united traditional playing system. Lvg alimjibu piaScholes ni mnazi kupindukia kuliko Merson. Merson anamkritsaizi Wenger mara kibao sijawahi kusikia Scholes akifanya hivyo kwa LVG. Sema Merson si predictor mzuri. Niliacha kusoma predictions za Merson kwa muda mrefu sasa . Lately Scholes amekuwa very critical kwa Arsenal hata tunapocheza vizuri.
Nimefurahi sn wakuu mlivo wapiga hao jamaaa maana wangechonga sn....sasa nafasi ya nne au ya tatu au ya pili ni yenu wakuu maana Loser walikua wanaleta shida nyuma yenu lkn sasa mmewatoa kabisa....na Arsenal atakuja kuwatimua kabisa....nataka na Man City akija hapo kwenu mumkoyonge kabisa ili muwe nafasi ya tatu kiulaini na mimi nichukue ndooo kiulaini....safi sn wakuuu lol.
everlenk hongera kwa kuwa na siku iliyojaa furaha, najua utaianza week vizuri.
Barcelona 2 - 1 RM
Nimefurahi sn wakuu mlivo wapiga hao jamaaa maana wangechonga sn....sasa nafasi ya nne au ya tatu au ya pili ni yenu wakuu maana Loser walikua wanaleta shida nyuma yenu lkn sasa mmewatoa kabisa....na Arsenal atakuja kuwatimua kabisa....nataka na Man City akija hapo kwenu mumkoyonge kabisa ili muwe nafasi ya tatu kiulaini na mimi nichukue ndooo kiulaini....safi sn wakuuu lol.
Ukiacha sisi washabiki wa man utd, wewe peke yako ndio ulikuwa unasema tutawafunga hawa Liverpool......wengine wote walijua jana ni kukamilisha ratiba tu mechi walishacheza midomoni mwao!
Manchester United put a 5-point gap between 5th placed Liverpool with a strong 2-1 at Anfield yesterday in a show of momentum that produced everything a derby should. Here are 20 things we learned and observed from that encounter.
1. Juan Mata Matters. Mata Millele. Legend.
2. The wish for many to see Mata and Di Maria playing together was rewarded with a great goal - possibly best of the season.
3. Ander Herrera makes 'world-class' players look ordinary.
4. Winning at Anfield is sweet.
5. Wayne Rooney should have let Mata try for a hat trick! Selfish?
6. But, it was comically interesting to see the universe conspire not to give Rooney a goal at Anfield. That is what we call a jinx; and I now believe it exists.
7. Daley Blind may not have the 'legs' for it, his positioning and ability to beat a man make up for all that.
8. According to LvG, Mata's new position is known as: false right-winger. That there is philosophy.
9. Fellaini's chest is made up of soft pillows that bounce the ball back to his legs. Seriously, he made awesome turns in that game - I think it was his best performance, yet for United and he did not even look tired.
10. Phil Jones makes me want to close my eyes when he has the ball. Ah, well. You can't have everything.
11. Van Gaal's anger management classes paid off - the team was very composed for a derby competition.. However, something needs to be done about Martin Skrtel.
12. Smalling is becoming good. He won every battle and even had a moment to taunt Balotelli. Awesomeness.
13. That, right there. That is the Manchester United way. Keep it up.
14. Every player needs to be benched for long periods... This is what happened with Herrera and now, look at Mata. I wonder what will happen when Rafael comes on!
15. Victor Valdes is the best benched player ever. He was just so busy cheering the players and the team... must have been thinking, "glad I did not sign for these sods." Most importantly, I love his attitude. If you've not been watching him, try to do so next time!
----
16. F**k Pele. He came to see Coutinho? How can he say that when we had the White Pele on the pitch? Even if I think that word is racist as shit, I'm just glad I was too young to see him play.
17. Hope Young is good. He limped off, there.
18. Seeing Van Gaal smilling (smirking) at the end of the match made me smile (smirk) right back. His complement to Mata was the best apology ever.
19. Also, Rooney tried very hard to not to smile when Steven Gerrard was sent off. He didn't try hard enough, it still came out.
20. Carrick and De Gea had a 20% off day. Thank God other players turned up.
----
What else did you learn from that game? ‪#‎believe‬ ‪#‎GGMU‬ ‪#‎uniteddamu‬
21. Mata is anything that occupies space and has mass. It took me 10+ years not to understand the theory but 90 minutes was enough to get it all right under prof. Juan. Thanks fo da practical lesson at anfield