Angempa tu Mata acheze, yeye kama team captain ana maamuzi ya kum assign mtu yeyote kufanya jambo flan ndan ya uwanja. Mata tayari alikuwa na goli 2 angepata hiyo chance angepiga hat trick kitu ambacho kingeongeza kitu flan kwake.
Afadhali ya kumsikiliza Robbie kuliko MersonInaelekea Wewe utakuwa unamsikiliza na kuamini Robbie Savage sana.
HAHAHAHAH kweli kabisa dah huyo jamaa sijui Utd walimkosea nini?OK mi huwa naangalia za united tu! Huyu hata game zetu home na timu kama Sunderland atatabiri draw?!! Are we that bad?! Two points from second spot!!
Yetu 31, nyie 27. Tumefunga 58 nyie 52
Afadhali ya kumsikiliza Robbie kuliko Merson
Mbona Scholes anawachana sometimes Man Utd ila mbona watu hawalalamiki?
Mersona kaweka unazi mbele sana, ana chuki kubwa na Man Utd
Inaelekea Wewe utakuwa unamsikiliza na kuamini Robbie Savage sana.
Na hio tangu msimu unaanza man utd defence was better than most top six teams yet it was and it is the one criticized! Umesikia wakiwasema mabeki wa man city,liverpool au arsenal?!! They are far worse than Smalling and company! According to stats
Robie Savage ni ex-united but yuko fair sana huwezi mlinganisha na Merson
Savage juzi alikuwa anawacriticize wachezaji wa City kwa kucheza fouls ndogo wakati enzi zake (Savage )alikuwa big la mcheza foul, huyo ndo unamwita fair? Anyway post yako inadhihirisha unawamba ngoma ...
Baada ya kuwanyamazisha wazee wa historia, sasa tuoshe macho kwa kuangalia el classico.