Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

CAt0F3VWkAERRJZ.jpg
 
Hahahaha Enzi za jambochat wewe na Pazi mmeshakosa pesa kwa kutofuatilia predictions zangu.

Mbona unapenda kuwadanganya ambao hawakuwepo muda huo, wakafikilia wewe ni mtabiri mzuri

Hebu angalia ulichosema hapa

1 Swali: Kwa nini ununue nguo ya mbei mbaya halafu usiivae?
2 Swali: Kwa nini uazime kifaa cha ujenzi halafu usikitumie ipasavyo?

FT: Liverpool 2-2 Manchester United
2 Red cards 1 each for both teams.

Hivi watu wangekusikiliza si inamaana kesho wangelala na njaa lol
 
SG gave you a game
Hongereni sana anyway

Before SG came on it was
1-0
Possession 60%-40%
Shots on target 2-0
Passes 295-200
Pass accuracy 80%-less etc!

BTW vipi ile ban ushajipiga?!!

Wewe na wenzio niliwaambia hio run yenu hamjakutana na kashkash Kama za man utd,we give most teams different problems that haven't faced all season! Mlifikiri mnakuja kuokota point tatu?! SG nilijua tu anakuja kucheza rafu alivyotolewa wala sikushangaa! Five points clear now!
 
Before SG came on it was
1-0
Possession 60%-40%
Shots on target 2-0
Passes 295-200
Pass accuracy 80%-less etc!

BTW vipi ile ban ushajipiga?!!

Wewe na wenzio niliwaambia hio run yenu hamjakutana na kashkash Kama za man utd,we give most teams different problems that haven't faced all season! Mlifikiri mnakuja kuokota point tatu?! SG nilijua tu anakuja kucheza rafu alivyotolewa wala sikushangaa! Five points clear now!

Spot on...kuna wengine wanasema United imebebwa na refa, eti kwa sababu Jones na Rooney walistahili kadi nyekundu pia!!

Watu wapo bitter kupita kiasi....hawakutarajia haya, walifikiri vichwani mwao kwamba itakuwa game rahisi kwa Loserfool!
 
Mbona unapenda kuwadanganya ambao hawakuwepo muda huo, wakafikilia wewe ni mtabiri mzuri

Hebu angalia ulichosema hapa



Hivi watu wangekusikiliza si inamaana kesho wangelala na njaa lol

Hahaha hata Sheikh Yahya alikoseaga utabiri kati ya Yanga na Simba 1991. Ile mechi Gagarino alipokosa penati kwa kugongesha mwamba. Yanga tuliondoka na ushindi 3-1 baada ya Mziray kuhama Simba to Yanga.
 
Next game ni muhimu kuwatandika Aston Villa, kwa matokeo yoyote kati ya Arsenal na Livefool ni mazuri kwetu ila mimi nawaombea draw tu itakuwa powa zaidi

Arsenal vs Liverpool matokeo mazuri kwetu ni kama Liver ataweza kupata angalau point moja

Ila kwa sababu mara nyingi Man Utd haitegemei timu nyingine iifanyie kazi yenyewe... hao Gooner watakuja Old Traford tutamaliza kazi hiyo
 
Liverpool mara ya mwisho kufungwa kwenye ligi ilikuwa december mwaka jana

Liverpool walikuwa hawajafungwa katika ligi tangia hiyo december ... mechi 14 bila ya kufungwa

Unajua nani aliwafunga mara ya mwisho hiyo december???? Sio mwingine ni timu Kubwa kuliko zote nchini Uingereza The Mighty Man Utd

Unajua baada ya kucheza mechi 14 mfululizo bila ya kufungwa, nani amekuja kuvunja hiyo rekodi??? sio mwingine zaidi ya Timu Kubwa Man Utd

Fact: Msimu huu liverpool wameichangia Man Utd points 6 : yaani maana yake Liverpool kafungwa nyumbani na ugenini msimu huu

Fact: Msimu huu Man Utd kachukua points 6 kirahisi kabisa bila ya upinzani kutoka kwa timu ndogo Liverpool

Huu uzi umeifanya week end yangu kuwa nzuri kabisa.

Ila Wayne Rooney amemkatili bwana mdogo Mata kuondoka na Mpira wake.
 
ESPN's verdict

Marouane Fellaini - 9
Juan Mata - 9
Ander Herrera - 8


CAt4o-KUkAAIvkl.jpg


Of course Mata won the Sky Sports' and Fan's (with 90% of the votes) MoTM awards

CAt4iEuWQAAJS-a.jpg
 
Spot on...kuna wengine wanasema United imebebwa na refa, eti kwa sababu Jones na Rooney walistahili kadi nyekundu pia!!

Watu wapo bitter kupita kiasi....hawakutarajia haya, walifikiri vichwani mwao kwamba itakuwa game rahisi kwa Loserfool!

Wanaacha kuangalia reality wanaanza kulialia na refs?!! SG hii ndio game yake ya mwisho,he was too emotional,he wanted it too bad! Kila mwenye kujua historia anajua lazima angekuja kucheza very aggressive bahati mbaya kaja na hasira na ref was prepared!

Liverpool fans should check the facts,they were given a masterclass for first 30mins at their own ground! Zero shots on target,couldn't find the ball!

All of sudden NO ONE IS SAFE!!! Next Please!
 
Arsenal vs Liverpool matokeo mazuri kwetu ni kama Liver ataweza kupata angalau point moja

Ila kwa sababu mara nyingi Man Utd haitegemei timu nyingine iifanyie kazi yenyewe... hao Gooner watakuja Old Traford tutamaliza kazi hiyo

kumbuka Liverpool hawatakuwa na SG,Lallana, possibly Skrtel.Hata hivyo mechi itakuwa ngumu lakini ngumu ikizingatiwa wamepoteza leo. But at the end 3 points zitabaki Emirates
 
Malafyaleeeeeeeee upo wapi ndugu yangu??? Tambo zote ziko wapi? haya niambie sasa hii Liverpool ya leo ya akina nani? Maana ile ya 3 mtungi ulisema ya nani vile sijui...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom