rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Sina muda wa kujibizana...kigeugeu 😂
Prove it, ugeugeu... Acha kuthrow maneno matupu.
Sina muda wa kujibizana...kigeugeu 😂
I'm not a Manchester United fan, but I think it's still a best team in EPL for all this period.
kama kawa jogoo kachinjwa pale pale anfield mkuu,shetani kanywa damu nyumbani kwa mtu.
Naona LVG sasa ameshapata timu yake hii ilikuwa game ya kushinda goli 4 kocha alilazimika kumtoa Herrera baada ya kupata yellow card otherwise angemtoa Fellaini Rooney arudi kati,ushindi wa leo kwangu ndio ushindi mtamu msimu huu.Loserfool walikuwa wanapiga sana kelele
Herrera alishapata yellow kadi na jinsi game ilivyokuwa na tension angeweza kupata red card.Wachezaji ambao LVG hawezi kuwaweka benchi ni Rooney na RVPAlipaswa kutoka Rooney na siyo Herrera kwasababu Rooney hakuwa vizuri leo.
Yote tisa kumi ni point 3.
rubaman
Sasa una maoni gani kuhusu mbio za kumaliza kwenye top four
Na pia kuhusu kwenye kumaliza nafasi za kucheza Europa league {angalia aliyepo nafasi ya 5 kapishana point 1 tuu na aliyepo wa 7}
Liverpool mara ya mwisho kufungwa kwenye ligi ilikuwa december mwaka jana
Liverpool walikuwa hawajafungwa katika ligi tangia hiyo december ... mechi 14 bila ya kufungwa
Unajua nani aliwafunga mara ya mwisho hiyo december???? Sio mwingine ni timu Kubwa kuliko zote nchini Uingereza The Mighty Man Utd
Unajua baada ya kucheza mechi 14 mfululizo bila ya kufungwa, nani amekuja kuvunja hiyo rekodi??? sio mwingine zaidi ya Timu Kubwa Man Utd
Fact: Msimu huu liverpool wameichangia Man Utd points 6 : yaani maana yake Liverpool kafungwa nyumbani na ugenini msimu huu
Fact: Msimu huu Man Utd kachukua points 6 kirahisi kabisa bila ya upinzani kutoka kwa timu ndogo Liverpool
Pazi alisema ukimsikiliza rubaman hutakula hela za bookies lolWatakaomaliza top 4 wanaweza kujulikana mechi zijazo (April 4th & 5th wkend) endapo tutamfunga Liverpool. Patakuwa na kinyang'anyiro hadi mwisho wa ligi kwa wataopata nafasi za kwenda Europa League kama itakavyokuwa kwa nafasi ya pili, tatu na nne. City, Arsenal, United yeyote anaweza kumaliza katika nafasi hizo. Kwa maoni yangu(kiunazi) tutamaliza wa pili, City then United
mkuu hata arsenal walipokuwa hawafungiki (Invicible) ni manchester united ndio waliovunja ile season long unbeaten record!
Una kumbukumbu nzuri
Ni kawaida ya Man Utd kuvunja rekodi za timu hizo ndogo ndogo
Una kumbukumbu nzuri
Ni kawaida ya Man Utd kuvunja rekodi za timu hizo ndogo ndogo