Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo la Man U ni upangaji mmbovu wa LVG kama ule wa FA. Usishangae leo akapanga watu wa ajabu ajabu kama Januzaj, Falcao, Van Persie halafu Rooney akamrudisha nyuma.

Leo mtaongea yote lakini kipigo hakikwepeki...leo hata kama FIFA na FA ikawaruhusu muingize uwanjani timu yenye wachezaji 15 badala ya 11 haitasaidia kitu...ni kichapo kwa kwenda mbele.
 
Inyeshe mvua au liwake jua...leo Man U lazima wachezee kichapo cha mbwa mwizi!! Yaani ni lazima mfungwe tu.

Labda mmejitahidi saana basi ni droo...ila kichapo cha goli 3-1 kinanukia na hakikwepeki.

Shindwa na ulegeeeee hapo ulipo, na maneno yako hayatatimia, halafu ntawaita Monaco ujue.........lols
 
kama lvg atapanga kikos kile tulichomuua nacho Tottenham lazma tushinde

Aaah wapi' pangeni hicho kikosi mlichocheza na Spurs kisha jiongeze wewe na Giggs...bado mtachezea kichapo tu kutoka kwa majogoo wa Anfield.
 
SAF in the house...

CAs_iC_UQAAfrFb.png
 
Ladies and gentlemen, the teams

Liverpool: Mignolet; Can, Skrtel, Sakho; Sterling, Henderson, Allen, Moreno; Lallana, Sturridge, Coutinho. Subs: Jones, Johnson, Toure, Gerrard, Lambert, Lucas, Balotelli.

Manchester United: De Gea; Valencia, Smalling, Jones, Blind; Mata, Carrick, Ander Herrera, Young; Fellaini; Rooney. Subs: Da Silva, Rojo, Di Maria, Falcao, Januzaj, Valdes, Pereira.

Referee: Martin Atkinson
 
Pele wishes a nice game to everyone and then, grinning at the camera, reveals he would also like to see some nice goals. Good old Pele.
 
Aaah wapi' pamoja na kuwa siipendi Chelsea...lakini hawa ndio mabingwa wa msimu huu.

Na iwapo itatokea Man U wakachukuwa ubingwa basi uongozi wa JF unipige lifeBan...naongea silias.

Hizi ahadi zingine hizi!!!!

Inabidi ifike wakati wakina Invisible wawe wanazitekeleza
 
Back
Top Bottom