Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ingawa hutaki kuja kumwaga pongezi kule lakini mie nakuja huku huku kukuringishia dooli dolii,hujamuona Tevez na mashuti yake,dooli doli..we endelea na Carrick wako lakini..dooli doli,Morata dooli doli..robo fainali..dooli doli!haya endelea na EPL yako!

Best nakuja kukupa hongera mkuu alafu nahamia huko huko kwako sasa ktk UEFA maana hawa waingereza tangu katolewa babalao Chelsea hawa wengine wanapigwa tu......
 
Nzi DonDonald mfarisayo Belo kitwala everlenk mngependelea Di Maria arudishwe kwenye starting 11?! Au LVG apange kikosi kile kile kilichowavuruga Spurs?!! Di Maria kamaliza ban take.

Vyovyote vile itakavyokuwa kinachotakiwa ni kuwa Mata na Di Maria lazima wacheze hiyo mechi, iwe kwa kuanzia mwanzo wa mechi au kuingia kipindi cha pili.

Bila kusahau {muhimu sana} Wayne apangwe kama Striker, kwa zile beki chovu za Liver Rooney lazima atupie kama kawaida yake
 
Nzi DonDonald mfarisayo Belo kitwala everlenk mngependelea Di Maria arudishwe kwenye starting 11?! Au LVG apange kikosi kile kile kilichowavuruga Spurs?!! Di Maria kamaliza ban take.

Kwangu mimi asiwepo hiyo first 11kikosi kile kinafaa ila kuna marekebisho kidogo ya kufanya ili tuwe wazur zaid ngoja nireview kisha nitarudi.
 
Last edited by a moderator:
Nzi DonDonald mfarisayo Belo kitwala everlenk mngependelea Di Maria arudishwe kwenye starting 11?! Au LVG apange kikosi kile kile kilichowavuruga Spurs?!! Di Maria kamaliza ban take.

Kama ningekuwa napanga kikosi, basi ningependelea Di Maria aanze, kisha Mata aingie kipindi cha pili....

Kwanini? Kwa sababu Di Maria anakimbiza, beki ya Loserfools yafaa kukimbizwa dakika za mwanzo mwanzo tu...sasa akiwepo Di Maria na Young kwenye wings kutaifanya beki ya Loserfools kuwa busy muda wote....na endapo tutapata (ma)goli kipindi cha kwanza na tukawa wenye pole position, basi Mata ataingia ili kufanya timu imiliki mpira na to kill the game....
 
Vyovyote vile itakavyokuwa kinachotakiwa ni kuwa Mata na Di Maria lazima wacheze hiyo mechi, iwe kwa kuanzia mwanzo wa mechi au kuingia kipindi cha pili.

Bila kusahau {muhimu sana} Wayne apangwe kama Striker, kwa zile beki chovu za Liver Rooney lazima atupie kama kawaida yake

Mi nafikiri kuwachezesha wote wawili ni ngumu kwani kunahitajika balance, ila di maria anatakiwa aanze kwasababu hii game ni away tutakuwa tuna counter attack sana ambayo di maria anafaa sana.
 
Kama ningekuwa napanga kikosi, basi ningependelea Di Maria aanze, kisha Mata aingie kipindi cha pili....

Kwanini? Kwa sababu Di Maria anakimbiza, beki ya Loserfools yafaa kukimbizwa dakika za mwanzo mwanzo tu...sasa akiwepo Di Maria na Young kwenye wings kutaifanya beki ya Loserfools kuwa busy muda wote....na endapo tutapata (ma)goli kipindi cha kwanza na tukawa wenye pole position, basi Mata ataingia ili kufanya timu imiliki mpira na to kill the game....

Hats mimi ningependa di maria aanze ili tuwapige hawa jamaa counter attack za maana maanake najua lazima watatuvamia kichwakichwa!
 
Mi nafikiri kuwachezesha wote wawili ni ngumu kwani kunahitajika balance, ila di maria anatakiwa aanze kwasababu hii game ni away tutakuwa tuna counter attack sana ambayo di maria anafaa sana.

Ndio maana nikasema lazima wacheze sio lazima wote waanze wote.

Kama alivyosema Nzi mechi hiyo tutakuwa tunatumia counter attacks kuwateketeza hao jamaa, system hiyo ambayo Di Maria inamfaa sana.
 
Last edited by a moderator:
Nzi DonDonald mfarisayo Belo kitwala everlenk mngependelea Di Maria arudishwe kwenye starting 11?! Au LVG apange kikosi kile kile kilichowavuruga Spurs?!! Di Maria kamaliza ban take.

Napendekeza kianze kikosi kilichomfunga Spurs, game ya kwanza tuliwafunga Loserfool Di Maria hakucheza Mata alianza akafunga na kutoa assist kwa RVP,vyovyote matokeo yatakavyokuwa first half Di Maria aingie sub kuanzia dakika ya 70
 
Last edited by a moderator:
Napendekeza kianze kikosi kilichomfunga Spurs, game ya kwanza tuliwafunga Loserfool Di Maria hakucheza Mata alianza akafunga na kutoa assist kwa RVP,vyovyote matokeo yatakavyokuwa first half Di Maria aingie sub kuanzia dakika ya 70

Hapa ndio kocha anaonekana! Umetoka kushinda mechi kubwa bila star player wako ambae ana under perform then anarudi unacheza mechi kubwa zaidi,je umpange au umpige benchi! Dilemma hii kwa LVG
 
Nakusubiri!

Nimetafakar sana bado naona Mata anafaa kuanza combination lake na Herrera lilipendeza sana ilikuwa ni amsha amsha, Rooney kama kawaida striker asipangwe kivingine nasali sana siku hiyo LVG asimpange namba nyingine, Smalling na Rojo walishahibiana vizuri. Siku hiyo cha kuzingatia mashambulizi zaidi na defence iwe imara tu. halafu Sterling na Sturrige wadhibitiwe ipasavyo kama Kane alivyominywa ni nani na nani watafaa kuwadhibiti ipasavyo hapo bado sijapata jibu sahihi nisaidieni.....
 
Nzi DonDonald mfarisayo Belo kitwala everlenk mngependelea Di Maria arudishwe kwenye starting 11?! Au LVG apange kikosi kile kile kilichowavuruga Spurs?!! Di Maria kamaliza ban take.

Nionavyo mimi Di Maria asianze hiyo mechi kwa sababu Di Maria si mkabaji mzuri na mechi hii inahitaji watu wanaoweza kukaba.
Liverpool wanachokifanya kwa sasa ni kukaba kwa bidii wakati huo wakishambulia kwa kushitukiza huku wakipiga mashuti nje ya 18. Refer mechi yao na Man City, magoli yote yalipatikana nje ya 18.
Ili tuwabane kisawasawa kikosi kilichoanza na Spurs kinatosha kabisa kuwatoa kamasi hawa Loserfool.
 
Last edited by a moderator:
Hats mimi ningependa di maria aanze ili tuwapige hawa jamaa counter attack za maana maanake najua lazima watatuvamia kichwakichwa!

Tatizo la Di Maria ni kwenye kukaba tu na ndiyo maana mi naona aanzie nje ili watu wa kazi wawavuruge kwanza then aingie kuwakimbiza kipindi cha pili.
Nimekuwa nikifuatilia pia aina ya magoli tunayofunga tangu msimu huu uanze, magoli mengi hayapatikani kwa cross isipokuwa tumekuwa tukipata magoli kwa kupitia katikati.
Hata spurs tumewapiga kwa kupitia katikati.
 
Tatizo la Di Maria ni kwenye kukaba tu na ndiyo maana mi naona aanzie nje ili watu wa kazi wawavuruge kwanza then aingie kuwakimbiza kipindi cha pili.
Nimekuwa nikifuatilia pia aina ya magoli tunayofunga tangu msimu huu uanze, magoli mengi hayapatikani kwa cross isipokuwa tumekuwa tukipata magoli kwa kupitia katikati.
Hata spurs tumewapiga kwa kupitia katikati.

Counter attack ndio tutakachofanya siku hio,na di maria ndio atafaa Sana kuwakimbizz hao Liverpool,usisahau assists za di maria Kama goli LA Rooney vs arsenal
 
Nimetafakar sana bado naona Mata anafaa kuanza combination lake na Herrera lilipendeza sana ilikuwa ni amsha amsha, Rooney kama kawaida striker asipangwe kivingine nasali sana siku hiyo LVG asimpange namba nyingine, Smalling na Rojo walishahibiana vizuri. Siku hiyo cha kuzingatia mashambulizi zaidi na defence iwe imara tu. halafu Sterling na Sturrige wadhibitiwe ipasavyo kama Kane alivyominywa ni nani na nani watafaa kuwadhibiti ipasavyo hapo bado sijapata jibu sahihi nisaidieni.....

Kwa mtazamo wangu kikosi hiki kianze.
1. DD
2. Rafael
3. P. Jones
4. C. Smalling
5. Rojo
6. Carrick
7. Antonio Valencia
8. Matta
9. W. Rooney
10. Fellain
11. A. Young

Hawa watu wote ni wapiga kazi wazuri, Young na Valencia wanauwezo wa kurudi kukaba.
Wakati huohuo Carrick, Matta na Fellain wakipavuruga pale kati huku wakitengeneza mazingira mazuri kwa mzee wa KO kuzifumania nyavu atakavyo.
Huku Degea akiwa likizo kwani mipira itakayokuwa inafanikiwa kupenya hapo kati itawakuwa Smalling na Rojo wakiisubiri.
Teh teh teh teh loserfool walie tu.
 
Kwangu mimi asiwepo hiyo first 11kikosi kile kinafaa ila kuna marekebisho kidogo ya kufanya ili tuwe wazur zaid ngoja nireview kisha nitarudi.
everlenk waonaje hii

1. DaveSave 2. Rafael 3. Rojo 4. Smelling 5. Jones 6. Carra 7. Devil Di Maria 8. Herrera 9. Roo 10. Mata 11. Young

(Fellaini Missing in Starting 11 lakini apatikane 2nd half - though LvG anavyomwamini sasa hivi nahisi Mata atawekwa nje)

Why Mata?
Napenda kuona link-up play ya hawa watu wanne Mata, Herrera, Carra na Di Maria. Nahisi hao watu wawili hapo Herrera na Mata kwa positional awareness yao na urahisi wao kujiposition wanaweza tengeneza link nzuri itakayosaidia ku-raise game ya Di Maria.....
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtazamo wangu kikosi hiki kianze.
1. DD
2. Rafael
3. P. Jones
4. C. Smalling
5. Rojo
6. Carrick
7. Antonio Valencia
8. Matta
9. W. Rooney
10. Fellain
11. A. Young

Hawa watu wote ni wapiga kazi wazuri, Young na Valencia wanauwezo wa kurudi kukaba.
Wakati huohuo Carrick, Matta na Fellain wakipavuruga pale kati huku wakitengeneza mazingira mazuri kwa mzee wa KO kuzifumania nyavu atakavyo.
Huku Degea akiwa likizo kwani mipira itakayokuwa inafanikiwa kupenya hapo kati itawakuwa Smalling na Rojo wakiisubiri.
Teh teh teh teh loserfool walie tu.

Mkuu fanya makosa yote kwenye hii game sio kumuacha Herrera (if fit) kwenye hii game

Huyu Dogo mtamu kutibua halafu haogopi kupeleka mguu ( some kinda Scholesy)
 
Counter attack ndio tutakachofanya siku hio,na di maria ndio atafaa Sana kuwakimbizz hao Liverpool,usisahau assists za di maria Kama goli LA Rooney vs arsenal

Ni kweli kabisa counter zinahusika, wasiwasi wangu ni aina ya mpira anaoucheza Liverpool. Tangu mwaka huu uanze Liverpool hajapoteza mchezo, katoa sare 2 na kashida mechi 8. Ktk mechi hizi zote karuhusu goli 5 tu, ambazo ni sare ya 2-2 na Leicester, 3-2 zidi ya Spurs na 2-1 zidi ya Man City. Zilizobaki wameshinda bila kuruhusu goli.
Hivyo tunahitaji kuzuia kwa umakini mkubwa huku tukilazimisha kuchezea kwao muda mwingi.
 
Kwa mtazamo wangu kikosi hiki kianze.
1. DD
2. Rafael
3. P. Jones
4. C. Smalling
5. Rojo
6. Carrick
7. Antonio Valencia
8. Matta
9. W. Rooney
10. Fellain
11. A. Young

Hawa watu wote ni wapiga kazi wazuri, Young na Valencia wanauwezo wa kurudi kukaba.
Wakati huohuo Carrick, Matta na Fellain wakipavuruga pale kati huku wakitengeneza mazingira mazuri kwa mzee wa KO kuzifumania nyavu atakavyo.
Huku Degea akiwa likizo kwani mipira itakayokuwa inafanikiwa kupenya hapo kati itawakuwa Smalling na Rojo wakiisubiri.
Teh teh teh teh loserfool walie tu.

Safu imetulia vyema lakini hapo namba 7 unaonaje awe Herrera ......Valencia aje kipindi cha pili? Ni mtazamo tu.....
 
Back
Top Bottom