Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

everlenk waonaje hii

1. DaveSave 2. Rafael 3. Rojo 4. Smelling 5. Jones 6. Carra 7. Devil Di Maria 8. Herrera 9. Roo 10. Mata 11. Young

(Fellaini Missing in Starting 11 lakini apatikane 2nd half - though LvG anavyomwamini sasa hivi nahisi Mata atawekwa nje)

Why Mata?
Napenda kuona link-up play ya hawa watu wanne Mata, Herrera, Carra na Di Maria. Nahisi hao watu wawili hapo Herrera na Mata kwa positional awareness yao na urahisi wao kujiposition wanaweza tengeneza link nzuri itakayosaidia ku-raise game ya Di Maria.....

Safu hii nayo ni nzuri ila wasiwasi wangu je wakianza wote Mata na Di Maria tutakuwa na Supersub ambayo itasaidia iwapo kutakuwa na udhaifu mahali? Mi naona mmoja awe ndani mwingine nje ili atakayeingia aweze kusahihisha penye makosa...

Tukumbuke pia BR amekuwa mzuri kwenye sub,katika mechi za hivi karibuni sub alizoweka nyingi zilimzalia matunda mazuri..... Kama ataanza Di Maria kwenye kukaba huko atahitaji kuwa makini sana asije kutucost maana kuna watengenezaji wazuri wa faulo.......
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtazamo wangu kikosi hiki kianze.
1. DD
2. Rafael
3. P. Jones
4. C. Smalling
5. Rojo
6. Carrick
7. Antonio Valencia
8. Matta
9. W. Rooney
10. Fellain
11. A. Young

Hawa watu wote ni wapiga kazi wazuri, Young na Valencia wanauwezo wa kurudi kukaba.
Wakati huohuo Carrick, Matta na Fellain wakipavuruga pale kati huku wakitengeneza mazingira mazuri kwa mzee wa KO kuzifumania nyavu atakavyo.
Huku Degea akiwa likizo kwani mipira itakayokuwa inafanikiwa kupenya hapo kati itawakuwa Smalling na Rojo wakiisubiri.
Teh teh teh teh loserfool walie tu.
Yeah up! Hizi defender sijui Sakho, Can, Sketel lazima ziombe Pora siku hiyo
 
Safu imetulia vyema lakini hapo namba 7 unaonaje awe Herrera ......Valencia aje kipindi cha pili? Ni mtazamo tu.....

Labda Rafael ndo aanzie nje kwa sababu itakuwa ndo game yake ya kwanza hivyo anaweza asiwe kwenye form.
Aanze Valencia na Herrera huku Rafael akisubiri nje. Hapo itakuwa imekaa poa, kwa mtazamo wangu.
 
Labda Rafael ndo aanzie nje kwa sababu itakuwa ndo game yake ya kwanza hivyo anaweza asiwe kwenye form.
Aanze Valencia na Herrera huku Rafael akisubiri nje. Hapo itakuwa imekaa poa, kwa mtazamo wangu.

yaah naunga mkono hoja, Rafael atusubiri nje
 
Mi sina hata cha kucomment maana naogopa kuwa disappointed. LVG hanaga simile
 
Labda Rafael ndo aanzie nje kwa sababu itakuwa ndo game yake ya kwanza hivyo anaweza asiwe kwenye form.
Aanze Valencia na Herrera huku Rafael akisubiri nje. Hapo itakuwa imekaa poa, kwa mtazamo wangu.

Nilifikiri hivi kitwala

If fit ningependa Dogo aanze kwenye defence over Valencia hasa kwa ile defensive awareness....Rafael is far better than Valencia kwenye hilo eneo.....

Ila kwa fitness concern then LvG anaweza kumtumia Valencia Kama ulivyoona
 
Last edited by a moderator:
CL quarter final draw to be played on 5-6 April and 21-22 April

Paris Saint-
Germain vs Barcelona


Atlético Madrid vs Real Madrid



Porto vs Bayern Munich


Juventus vs Monaco
 
CL quarter final draw to be played on 5-6 April and 21-22 April

Paris Saint-
Germain vs Barcelona


Atlético Madrid vs Real Madrid



Porto vs Bayern Munich


Juventus vs Monaco

Duh!! Mbona Bayern Munich ana bahati hivyo, maskini we RM!! Barcelona my team utachomoka kweli kwa PSG?...... Yote juu ya yote mpira unadunda lolote laweza tokea.....
 
Duh!! Mbona Bayern Munich ana bahati hivyo, maskini we RM!! Barcelona my team utachomoka kweli kwa PSG?...... Yote juu ya yote mpira unadunda lolote laweza tokea.....

Bayern kaokota embe dodo, psg na barca, ATM na RM 50/50, Juve njia nyeupe.
 
Back
Top Bottom