Mh!!! Sub zimekuja mapema sana alafu kocha anapenda kupoteza nafasi za sub bila sababu kwa kufanya sub za mabeki ambazo hazileti tija kwa timu
Leo Rooney kafunga goli la 14 dhidi ya Arsenal rekodi ya kuifunga timu moja magoli mengi kuliko nyingine
Carrick amefanya timu icheze defensive zaidi....Herrera alikuwa anapeleka niamsheniamshe...