RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,806
- 129,653
Kila jambo lina mwisho. Tulikuwa tunamdunda Chelsea kama tunavyotaka siku hizi mambo yamebadilika.
Mwisho unakuja kwa mipango na sio wishes! Nyinyi Hamna mipango!
Kila jambo lina mwisho. Tulikuwa tunamdunda Chelsea kama tunavyotaka siku hizi mambo yamebadilika.
mnavuka mnaenda wapi kwani..aha nafasi ya 7...😀
Naona vijana wanafurahi ushindi wa kindondokela kwa mara nyingine tena. Nimesoma report ya mechi inasema Dada Maria bado adhihirisha kuwa Real Madrid ni watoto wa mjini kwa kuuzia watu "kanyaboya". Inaelekea mioyo ilikuwa inakaribia kuchomoka kwa presha na hofu ya kudondoka toka top 4 . Anyway, shangilieni kwa just another few weeks Liverpool wanakuja kuchukuwa nafasi ya 4, then mtagombania Europa League spots vs kina Spurs na Saints .
PS- Kama nilivyosema awali, midweeks games nitaendelea kuzikosa. Nitakuwa nakuja kusoma jinsi #wakaangasumu na #mburukenge mnavyochonga. Viva Arsenal.
DonDonald, Nzi, Malafyale, Belo, Mbu, BAK, RRONDO,Pazi
Tunasubiri hadi dakika ya 90 kwa Newcastle?
Week ijayo na Totenham then mtakuja.kwa Majogoo then mtacheza na Arsenal;Chelsea na Everton
Mechi hizi zilizofuatana hata kocha wenu LVG anajua hamtapata matokeo mazuri
Subiri utaona ni wapi....naona sasa mmeungana haters wote kufurahia anguko letu mtasubiri Sana........
anguko lenu linaanza tarehe 14 vs spurs😀😛
Wiki ijayo jumsatatu tarehe 9 tunacheza na arsenal FA cup, halafu wiki ingine ndio tunarudi kwenye ligi!
BTW man utd. GF 47. GA 26 PTS 53
Liver. GF 43. GA 30 PTS 51
Ndugu nimekuzidi kila kitu #LeagueTableDoesntLie
Mwisho unakuja kwa mipango na sio wishes! Nyinyi Hamna mipango!
Nafasi ya nne mnaweza mkaondoka mkuu akaja Spurs maana ana mchzo mmoja mkononi hajacheza na mnakutana nae hivi karibu.
Mkuu ratiba yenu ni ngumu sn mpk ligi inaisha lkn kitu kizuri ni kwamba ata anaewasumbua LFC na yeye ratiba yake ni ngumu sn na kuna viwanja viwili akitia maguu LFC lazima afungwe. Akija darajani na kwao Gunners.
Tuseme Spurs kashinda hio game take,atsakuwa na 50pts kwahio bado three points. Anakuja kwetu lazima tumfunge,Spurs Ana nsafasdi kubwa kumpita Liverpool ila sio sisi
Ratiba ngumu na hao wanaokutana na sisi wanajua ugumu wake,arsenal anakuja OT,spurs wanakuja OT,city anakuja OT mechi ninayoona ngumu no Liverpool away!
Uongee haya baada ya kuja Anfield March 22Wiki ijayo jumsatatu tarehe 9 tunacheza na arsenal FA cup, halafu wiki ingine ndio tunarudi kwenye ligi!
BTW man utd. GF 47. GA 26 PTS 53
Liver. GF 43. GA 30 PTS 51
Ndugu nimekuzidi kila kitu #LeagueTableDoesntLie
Tuseme Spurs kashinda hio game take,atsakuwa na 50pts kwahio bado three points. Anakuja kwetu lazima tumfunge,Spurs Ana nsafasdi kubwa kumpita Liverpool ila sio sisi
Man U hii amfunge Spurs?
Mpira sio bahati nasibu nyie watu!Mwenye kiwango bora anashinda tu na Spurs ana kiwango zaidi ya Man U
Anakusumbua huyu Manager-less and Tiote-less Newcastle wanao mchezesha hadi mchezaji mwenye kansa ndiyo iwe Spurs?
Spurs anakuchapa,unakuja Anfield unajua hata ww kama utachapwa
Well noted.....
Ratiba ngumu na hao wanaokutana na sisi wanajua ugumu wake,arsenal anakuja OT,spurs wanakuja OT,city anakuja OT mechi ninayoona ngumu no Liverpool away!
kwan hapo OT watu hawajichukuliagi point tu au