Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Sasa ndo wakati wa kuigeuza umefika.
Acheni kukariri nyie watu. Naona sasa mnaishi kwa matumaini kama timu.
Sawa, basi...
Sasa ndo wakati wa kuigeuza umefika.
Acheni kukariri nyie watu. Naona sasa mnaishi kwa matumaini kama timu.
Alaa, kumbe!
Gerardo Martino uwa anamchezesha namba ngapi National Team?Kwa sasa hivi nimevurugwa!
Refa kafanyaje?
Gerardo Martino uwa anamchezesha namba ngapi National Team?
Gerardo Martino uwa anamchezesha namba ngapi National Team?
Acha kukariri, hii ni knock out stages! Sio ligi. Na pia ligi yenyewe mechi ya mwisho mlioshinda ndo basi.