Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu tushangilie basi Uropa ligi maana utasahau sasa kushangilia mechi za kimataifa usipo jikumbusha

Daaah hata mwaka huu Man U hawapati nafasi,team yenu bado sana kuiva

Dada everlenk piga moyo konde mnaweza rudi 2018

Saw....nyinyi mnaoshika namba Saba mna nafasi kuliko sisi namba tatu....we are on top of u
 
Last edited by a moderator:
wadau wa soka Uingereza wanadai mechi hazina msisimko kutokana na timu kuingia uwanjani zilijua zinaweza kubahatisha droo ili zipate replay.

Kwa nini timu zinapenda replay?
 
Timu ndogo ili ziweze kupata mapato katika replays, lakini waweze kugamble pengine ushindi....

Uliona jinsi Cambridge Utd walivyofurahia replay OT?

Kwa hiyo tatizo hapo ni dau kuwa dogo.

Kama wakiondoa replay bila kuongeza dau bado timu kubwa hazitaongeza interest kwenye FA cup.

At the end of the day the FA cup litakuwa ni kwajili ya timu ndogo, kubwa zikijikita zaidi kwenye makombe yenye pesa.
 
At the end of the day the FA cup litakuwa ni kwajili ya timu ndogo, kubwa zikijikita zaidi kwenye makombe yenye pesa.

Hapa ndipo tunapotofautiana! Mimi naamini FA Cup ni kombe ambalo timu nyingi zinatamani kulichukua siyo kwa sababu ya pesa, bali ni utamaduni tu na prestige fulani...
 
Wayne Rooney and Co. at midfield ought to begin scoring goals at ease, not depending on strikers to paper over their goal drought.
 
10991377_339224319605378_1005681241673558873_n.jpg


EPL returns tomorrow and United travel to Swansea to rest the ghost of Opening Day defeat by the Welsh team with a win and 3 points. Swansea, since you last beat us:
1. The Injury Crisis Came and Went.
2. Ashley Young was transformed into a world-class winner.
3. We won a penalty. Make that 2!
4. Wayne Rooney became a midfielder. We protested and he's back upfront.
5. Di Maria got his wings and is now untackleable. That's a word.
6. Ander Herrera made 5 starts. 5 Goals. 5 Assists.
7. David De Gea became David The Goliath... or Spiderman.
8. You sold Bony to City - we rejuvenated Valencia and Fellaini.
9. We went 12 games unbeaten... we now have 1 loss in 19.
10. We moved up from 11th, went up to 3rd, dropped to 4th, 5th and now we are back on 3rd!
11. We reintroduced the words: Philosophy and Nutmeg to football.
12. We went back to our winning ways and winning dirty became acceptable.
13. Chris Smalling scored a brace in one game.
14. Marcos Rojo's hot pepper breakfast led him into a hot streak of world-class defending.
15. Mark Clattenburg found a way to f-!k us with 2 red cards in the two games he's officiated (against) us.
Basically, we are back to being Manchester United. Manchester United
---
Somebody tell Swansea we are coming to win! ‪#‎GGMU‬
 
11001911_339348479592962_7745658384422691210_n.jpg


Manchester United face Swansea at 6pm Saturday. Here are 10 things we look forward to:
1. 3 points.
2. Rooney as a striker - doesn't matter who he's paired with.
3. A. Young starting - his impact on Monday was huge.
4. Rafael, where art thou Da Silva. Hata bench?
5. Herrera starting - Van Gaal, please don't mess a good thing!
6. Victor Valdes - We've longed to see you; even for 5 minutes.
7. A Di Maria Goal - it's been a while, Angel!
8. Juan Mata doing Juan Mata things - on the pitch.
9. Falcao scoring - for his daughter and for his confidence.
10. More than 2 goals - we need to work on our Goal difference.
--
What else are you expecting to see... or not to see? ‪#‎GGMU‬
 
Viva forever The united,tunategemea utatupa raha watu wako....3 points ni muhimu sana leo.
 
Back
Top Bottom