Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

March 7 /March 8 mjae hapa kama mlivyojaa leo. Siku hiyo mtamwona LVG ni less than Moyes.
 
Naona umeshaanza kutafuta kisingizio cha majeruhi

Nimekuwa mkweli, timu yenu ya second 11 ni nzuri zaidi, hii ya sasa sioni mtatufungia wapi na kikosi tulichonacho sasa!! Na pale juu kwenye EPL ile nafasi tutawatoa, tena ikiwezekana tutakuja watolea pale pale kwenu TENA.
 
March 7 /March 8 mjae hapa kama mlivyojaa leo. Siku hiyo mtamwona LVG ni less than Moyes.

Leta hapa kipengele cha sheria ya offside...acha kurukaruka goon..

Nimekuwekea sheria namba 11 ya FIFA...bado unatoa macho tu!!
 
Nimekuwa mkweli, timu yenu ya second 11 ni nzuri zaidi, hii ya sasa sioni mtatufungia wapi na kikosi tulichonacho sasa!! Na pale juu kwenye EPL ile nafasi tutawatoa, tena ikiwezekana tutakuja watolea pale pale kwenu TENA.

Sawa basi..
 
2 defeats in the last 24 matches in all competition...

1 defeat, in the last 16:

WWWWWWDWDDLWWDWW

Halafu bado pundits wanaiponda timu...
 
Nimekuwa mkweli, timu yenu ya second 11 ni nzuri zaidi, hii ya sasa sioni mtatufungia wapi na kikosi tulichonacho sasa!! Na pale juu kwenye EPL ile nafasi tutawatoa, tena ikiwezekana tutakuja watolea pale pale kwenu TENA.

Wale waliowapa kichapo Emirates ndio tutawapanga waendeleze rekodi
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Hata Moyes "The Chosen One" alimfunga Wenger

Acha kumdharau Moyes, aliwakung'utaga tena vizuri kabisa pale Goodison park mara kadhaa. Moyes ni Kocha mzuri. Alipewa timu yenye misukule iliyokuwa inasubiri kucheza na kukamia mechi ya Arsenal tu kama kwamba walikuwa wanafukuzwa kazi kama wakifungwa na Arsenal. Alitufunga, okei, ligi ilivyoisha nyie mlikuwa wapi na sisi wapi? Hata mechi za alhamisi hampo, na msimu ujao safari zenu zitakuwa Eastern Europe tu huko Bratislava.
 
Preston manager Simon Grayson has told the BBC after the game that he thinks his players can be proud of what they have achieved in the FA Cup.
He said: "The lads can be very proud of their performances, we have given them a good game and they can all be proud of what we have done."
And he also thinks that the introduction of Ashley Young was where the game changed.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Wale waliowapa kichapo Emirates ndio tutawapanga waendeleze rekodi

Vizuri, sasa wakati huo huo muwe mnaomba vimeta a.k.a majeruhi vitupitie sisi, bahati mbaya majeraha treni yake ishapita Arsenal.
 
Kwa sasa hakuna haja ya kucheza na striker wawili kama tuna viungo wafungaji (Herrera,Blind,Fellaini,Mata,Rooney) still bado hatutengenezi nafasi kwa strikers wetu na inaonekana kabisa LVG hatamsajili Falcao
 
Arsenal wasubiri kuwa kabidhi kombe Mancherter United.

Mbuzi akimuona chatu yeye mwenyewe anajipeleka.

Cheers!

Acha kukariri, hii ni knock out stages! Sio ligi. Na pia ligi yenyewe mechi ya mwisho mlioshinda ndo basi.
 
Kwa sasa hakuna haja ya kucheza na striker wawili kama tuna viungo wafungaji (Herrera,Blind,Fellaini,Mata,Rooney) still bado hatutengenezi nafasi kwa strikers wetu na inaonekana kabisa LVG hatamsajili Falcao

Leo LVG kasema dirisha lijalo la usajili anataka kiungo, ndo kipaumbele chake! Falcao mngempa nafasi kidogo, mmempa miezi sita tu, kutoka ligi nyingine, anahitaji muda kidogo, ila yaonyesha LVG hamkubali.
 
Hongereni humu, lakini mjihesabu robo fainali ndio mwisho wenu kwenye FA Cup, maana tutawafanya kitu kibaya ila msimfukuze LVG, subirini mpaka msimu ufike ukingoni.

CC: everlenk
 
Last edited by a moderator:
Acha kumdharau Moyes, aliwakung'utaga tena vizuri kabisa pale Goodison park mara kadhaa. Moyes ni Kocha mzuri. .

Chifu, acha kujivua nguo...naona unaropokaropoka tu kama upo kijiweni.

Katika mechi 24 dhidi ya United, Moyes alishinda 3 tu...

Katika mechi 25 dhidi ya Goons, Moyes alishinda 3 pia...

Sasa sijui unaongea vitu gani?!?

Alipewa timu yenye misukule iliyokuwa inasubiri kucheza na kukamia mechi ya Arsenal tu kama kwamba walikuwa wanafukuzwa kazi kama wakifungwa na Arsenal. Alitufunga, okei, ligi ilivyoisha nyie mlikuwa wapi na sisi wapi?.

Alaaa, kumbe! Kwa hiyo hii rekodi ni ya kuwakamia goons tu?


Arsenal's record vs. Manchester United since 2009

Lose
Lose
Draw
Lose
Lose
Lose
Lose
Win
Lose
Lose
Lose
Draw
Lose
Draw
Lose
 
Arsenal's record vs. Manchester United since 2009:

Lose
Lose
Draw
Lose
Lose
Lose
Lose
Win
Lose
Lose
Lose
Draw
Lose
Draw
Lose

Sasa ndo wakati wa kuigeuza umefika.
Acheni kukariri nyie watu. Naona sasa mnaishi kwa matumaini kama timu.
 
Hongereni humu, lakini mjihesabu robo fainali ndio mwisho wenu kwenye FA Cup, maana tutawafanya kitu kibaya ila msimfukuze LVG, subirini mpaka msimu ufike ukingoni.

CC: everlenk

Alaa, kumbe!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom