Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Sylvain Wiltord alipigaga msumali kwenye jeneza lenu pale pale OT, kwa lugha nyingine tulikuwa tunatakiwa kupata point kadhaa kuwa mabingwa, tulichofanya tulienda tukautangazia OT kwa max point.
Kumbe! Aisee!
Mmekuwa wazee wa historia eh?
Uliona droo ya leo? United iliwakilishwa na namba 8, na Goons iliwakilishwa na namba 2.