Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapa Arsenal dua lake leo Manchester United itolewe ila ikishinda wanaanza kuuona mwisho wao ni robo fainali
 

Attachments

  • 1424116975737.jpg
    1424116975737.jpg
    66.2 KB · Views: 92
Sipendi sana kutumia historia.tuangalia linalojiri.usitapike povu hapa.man u naona wanakaza acha actions zichukue nafasi kuliko maneno
 
Kwa mnaongalia kupitia BBC, M'kiti wa FA kakwepa kujibu swali juu ya kudorora kwa mashindano ya FA Cup.

Mtangazaji kamwuliza ni kwanini FA isibadilishe utaratibu wa mashindano kwa kuondoa replays? Maana replays kwa mtazamo wa wadau unafanya baadhi ya timu kucheza kwa nia ya kupata replay. Hivyo, kupelekea baadhi ya mechi hata kushindwa kuvutia mashabiki na kwa namna fulani kupunguza mapato.

Ila nakubaliana na wadau, nafikiri kuanzia msimu ujao, kusiwe na replays ili timu zikiingia uwanjani zijue kwamba mshindi lazima apatikane.
 
Khe Khe Khe Kheeeeeeeeee kheeeeeee mpira sasa utanoga. Ngoja niendelee kuifuatilia huu mchapo.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mlibeba kombe gani OT?

Sylvain Wiltord alipigaga msumali kwenye jeneza lenu pale pale OT, kwa lugha nyingine tulikuwa tunatakiwa kupata point kadhaa kuwa mabingwa, tulichofanya tulienda tukautangazia OT kwa max point.
 
Mlibeba kombe gani OT?

Mkuu nilikuwa nakuweka katika top tier ya wanaojua na waliofuatilia EPL kwa muda mrefu. Hili swali linaonyesha umeingia dimbani baada ya kuanzishwa kwa Facebook. Tulibeba kombe la EPL baada ya kuwatungua goli 1-0 mfungaji Sylvan Wiltord mwaka 2001-02. Acha kusoma na kuamini gazeti la Sun, Daily Mail
 
Back
Top Bottom