tuna tatizo moja....mara nyingi tunaanza kucheza vizuri tukishafungwa ndio maana tunatoa draw mechi kama hizi mfano stoke city,wes brom
LvG ana kiburi sana...anyway tuombe wakubwa wa OT wasimchoke na kiburi chake...
man utd have lost only 1 game in the last 17 games in all competions
Draws kibao!!!
Vipi ile ban mliyoomba?
Mmeshinda?Man U hii ingemfunga WHU kwake tungeomba kwa MODS hapa waifute sred yetu ya Majogoo hapa!Tuwe wakweli jamani Man U hawezi mfunga WHU ugenini