RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,799
- 129,636
Draws kibao!!!
yup draws nyingi sana kama hii ya leo
Draws kibao!!!
Mmeshinda?Man U hii ingemfunga WHU kwake tungeomba kwa MODS hapa waifute sred yetu ya Majogoo hapa!Tuwe wakweli jamani Man U hawezi mfunga WHU ugenini
nitaanza kukwambia uweke stats utazungukazunguka hapa....last time west ham kumfunga man utd ni 2007! in fact mwaka jana tumewafunga 2-0 hapo kwao magoli ya rooney...una lingine? nakuongezea Sam alladyce kaifunga man utd mara mbili tu ktk michezo zaidi ya iahirini kwahio cha ajabu leo ingekuwa west ham kumfunga man utd not the other way round
huyu LVG anazingua....
Kane n miongoni mwa good finisher ulimwenguni kwa sasa lakin co uyo aliewafunga nyinyi
We still on top niqqa
Chlsea
Hivi mechi za ugenini Man U wameshinda mbili tu!? kwa hiyo Man wakicheza ugenini ni draw au kufungwa, ushindi ni bahati...
Watu kwa kujifanya wanaijua United...United imepoteza michezo minne tu hadi sasa: miwili OT dhidi ya Swansea na Soton na miwili ugenini dhidi ya Shitty na Leicester.
Ugenini tumetoka droo nyingi zaidi kuliko kufungwa..
Msiwe mnaropoka tu kama mpo kwenye vijiwe vya kahawa..
Wakuu heshima sana.
Mechi ya jana Man ilicheza hovyo sana hasa kipindi cha kwanza.Kuna mambo nane ambayo naweza kusema ndio sababu za matokeo mabaya.
1. LVG mpaka sasa ameshindwa kutengeneza mfumo unaoeleweka kwa wachezaji.LVG anachelewa mno kufanya mabadiliko hata timu inapokuwa imezidiwa na sababu za kuzidiwa kuonekana wazi.
2. Wayne Rooney si mchezaji wa kiungo,huyu ni mshambuliaji.
3. Luke Shaw si mchezaji wa 30 mil,nimemwangalia mara nyingi sana nadhani Man walilipa fedha nyingi kuliko thaman halisi ya mchezaji.Young amecheza vizuri katika nafasi ya beki wa kushoto kuliko Shaw.
4. Mfumo wa LVG umefifisha makali ya Di Maria.
5. De Gea ni kipa namba moja duniani kwa sasa hilo halina ubishi najaribu kufikiri kama De Gea asingekuwa Man tungekuwa nafasi ya ngapi ?.
6. Usajili wa Rojo na Blind hasa ukizingatia bei waliyonunuliwa Man U walilipa fedha kidogo ukilinganisha na viwango vyao.Ukweli ni kwamba Rojo na Blind wame sattle vizuri katika timu ukiwalinganisha na Falco na Di Maria.
7. Herrera Ander ni mchezaji wa kiungo bora kabisa lakini nafasi yake kapewa mshambuliaji Rooney nadhani huku ni kumpoteza kijana pasipo sababu za msingi.
8. LVG nabadilisha sana mabeki hii inaweza kusababisha wachezaji katika safu ya ulinzi kutokuelewana.Wakati sasa umefika wa kuwa na wachezaji wa kudumu nafasi ya ulinzi labda yatokee majerui.
LVG ni MWEHU........
Nadhani LVG anafanya mambo ya trial and error ambapo kwa uwezo wake hastahili kufanya...however tukubaliane kitu kimoja pamoja na yote mafungufu tunayoyaona HATUPOTEZI mechi..ugly win and draw tu
Wewe acha hizo, Manchester United naijua sana, kila game ni ngumu tu...ma striker wamekuwa mabutu... kwa ile hela iliyotumika majina makubwa, haikutakiwa tuwe tushindana na Soton, kupigania nafasi ya nne na ya tatu... mi draw isiyo na mpangilio, katika hizo draw unadhani wamepoteza point ngapi!?
Jana baada ya Big Sam kukosa point 3 zote kuna uchambuzi niliuona ktk mtanadao namna ManU walivo wabovu....maana jamaa anahoji haiwezekani mbele ukawa na RVP na Falcao nyuma kidogo ukawa na Di Maria, Rooney na Januzaj alafu unahangaika kufunga au kupata draw, yani unakuja kupa sare dakika za mwisho kwa shida....kweli ni shida hii timu aisee.