kwanini rooney acheze midfield na kuna herrera na fellaini?! tukishafungwa ndio atapanga timu inavyostahili
kwanini rooney acheze midfield na kuna herrera na fellaini?! tukishafungwa ndio atapanga timu inavyostahili
Man United fans want to see Ander Herrera introduced to add a bit of calmness on the ball to the side.
Hii yote ni kumpanga RvP...sema ukweli RvP anapaswa awe anaanzia bench ili Rooney acheze 10, Falcao 9..hapo Herrera atakaa kati na Blind huku DM akiwa kama winger katika wings zote...
Anyway, kocha ndiye mwamuzi, ingawa naye ni binaadamu tu..
Tukimfunga?
Maana RvP na Falcao yaani hawaendani kabisa...hawana chemistry kabisa..
Ni bora RvP atoke na aingie dogo Wilson, dogo ana pace, hivyo yeye, na DM wataipa presha sana backline ya West Ham..
Januzaj apumzike, Fellaini au Mata aingie..Januzaj anapoteza mipira..
Maana RvP na Falcao yaani hawaendani kabisa...hawana chemistry kabisa..
Ni bora RvP atoke na aingie dogo Wilson, dogo ana pace, hivyo yeye, na DM wataipa presha sana backline ya West Ham..
Januzaj apumzike, Fellaini au Mata aingie..Januzaj anapoteza mipira..
Kweli Falcao na RVP hata pasi hawapeani,msimu ujao mmoja lazima aondoke.Hii game ya nguvu haimfai kabisa Januzaj anapoteza mpira na hajui kukaba,team selection na formation za LVG zinafeli kila week
Sasa huyu LvG anasubiri nini kufanya sub?!?