Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Spirit kama ile tuliyotaka kumliza Maureen kwa goli la dakika za mwisho pale OT?

Leo tactics za kocha zilikuwa ovyo...subs nazo ovyo...hizi ndizo sababu za kufungwa...

Spirit haiwezi kuwepo kama tactics zinakuwa mbovu...tactics ndizo upelekea spirit kuongezeka, kupungua ama kutokuwepo kabisa..

........ilikuwa draw,huwezi kumliza mtu kwa draw
 
Valdes angedaka ule mpira alio ukosa Le'Gea.
Kwanini van_gal ajamuingiza roho yangu inaniuma sana.
Hata msosi sina hamu ya kula.

Kula msosi wewe ucsije kufa njaa!Ila PANYA ROAD wamenifurahisha sana!
 
1-1 na Aston Villa hamkucheza vyema
1-1 na Stoke hamkucheza vyema
1-0 na Soton hamjacheza vyema

Man U inabidi inunue beki mkubwa wa kati acheze na Jones!Hawa akina Blackett ni mediocre players hawana hadhi ya kuvaa jezi ya Man U!Yale yale kwetu ya Lovren.Sometimes makocha hawa wanalazimisha tu mambo

Poleni ndiyo EPL ilivyo

Msimu huu strength yetu kubwa iko kwenye foward,game nyingi tumecheza na hao kina Jones,Blackett,McNair,Smalling but tulikuwa tunafunga magoli 2,3.Kuanzia game ya Spurs,Aston Villa na hii ya leo foward wametuangusha na hii pia imesababishwa na mfumo mbovu wa kocha RVP yuko off form kulinganisha na Falcao na leo Di Maria akawa anachezeshwa striker.Leo The Saints hawakuwa wazuri kama game ya kwanza lakini wametufunga,kwa mtazamo wangu naona leo defence haikuwa mbovu
 
LVG ndio wa kulaumiwa leo team selection na poor sub zimemponza.Herera na Falcao walipaswa kuanza

More importantly i am wondering why he doesn't see that his formation of 3-5-2 doesnt work out in epl he should change to atleast 4-3-3 or 4-4-2
 
Nzi kwa hiyo kusema tactics za LVG zilikuwa mbaya sio kisingizio kwa maono yako? Btw tukipigwa ubaya(kihalali) na City next weekend hutanisikia nalaumu mtu.
 
1-1 na Aston Villa hamkucheza vyema
1-1 na Stoke hamkucheza vyema
1-0 na Soton hamjacheza vyema

Man U inabidi inunue beki mkubwa wa kati acheze na Jones!Hawa akina Blackett ni mediocre players hawana hadhi ya kuvaa jezi ya Man U!Yale yale kwetu ya Lovren.Sometimes makocha hawa wanalazimisha tu mambo

Poleni ndiyo EPL ilivyo

Nakubaliana nawewe...lakini ni kheri usicheze vyema lakini upate points 3 au hata 1, kuliko kutocheza vyema na kufungwa...

Katika suala la beki, nakubaliana nawe kwa asilimia mia..Blackett bado sana, katika hawa madogo ni McNair tu ndiye anaonyesha ukomavu...yaani leo sikumwelewa kabisa LvG kumtoa Shaw, maana alivyotoka tu, Blackett akawa out of position na jamaa wakafunga..

Hapa ili kujihakikishia kurudi UCL mwakani, CB mmoja wa uhakika ni wa lazima...ngoja tuone hadi mwisho wa dirisha...

Naamini tukipata CB mzoefu, tutarudi kwenye 4-4-2 ama 4-3-3, ambapo diamond formation itahusika sana kutokana na viungo wakali tulionao...

Halafu leo kweli unampanga Di Maria kama striker? Huyu LvG anakuwa na SAF, aliyekuwa mcheza kamari mzuri sana kwa kupanga timu kikamarikamari nyakati zingine..
 
Nzi kwa hiyo kusema tactics za LVG zilikuwa mbaya sio kisingizio kwa maono yako? Btw tukipigwa ubaya(kihalali) na City next weekend hutanisikia nalaumu mtu.

Siyo kisingizio kwani katika soka tactics ndizo uamua matokeo na siyo timu kuwa na majeruhi...unaweza kuwa na majeruhi elfu moja, lakini kama tactics zipo poa, unapata matokeo mazuri...si unaona jinsi United ilivyokuwa ikishinda licha ya kuwa na majeruhi kibao, leo jeruhi ni moja tu, imefungwa...
 
Soton wamecheza kwa nidhamu ya hali ya juu. Main target ilikuwa sare. Walipopata nafasi wakawatandika. Mara nyingi walikuwa wakipata mpira hawaendi mbele, wanapiga pass chache then wanarudisha kwa goli keeper.

Sidhani kama target yao ilikuwa sare...maana sare isingewasaidia sana, kwani wangekuwa bado wapo chini ya United...

Anyway hongera zao...

Sasa macho yote weekend ijayo...

Shitty vs. Goons,
Newcastle vs. Saints,
Swansea vs. Rentboys, na
QPR vs. United
 
Siyo kisingizio kwani katika soka tactics ndizo uamua matokeo na siyo timu kuwa na majeruhi...unaweza kuwa na majeruhi elfu moja, lakini kama tactics zipo poa, unapata matokeo mazuri...si unaona jinsi United ilivyokuwa ikishinda licha ya kuwa na majeruhi kibao, leo jeruhi ni moja tu, imefungwa...

Haya mkuu. BTW naona hawa Saints wanataka kuharibu rekodi za watu mwaka huu. Koeman bora aende Barcelona wanapomhitaji ama sivyo tunaweza kuona Manchester United wakikosa CL kwa mara ya 2 mfululizo au Arsenal wakiikosa kwa mara ya 1 katika miaka 18.
 
COPY &PASTE
Moyes. 21 games = 37
points , money spent = £29m Fellaine + £37m
Mata.
LVG. 21 games = 37 points money spent = £60m
Di Maria, £29m Shaw, £29m Herrera, £14m Blind,
£16m Rojo, £6m loan deal Falcao.
Truly Moyes was better at this stage than LVG,
considering the resources he had @ the time
 
COPY &PASTE
Moyes. 21 games = 37
points , money spent = £29m Fellaine + £37m
Mata.
LVG. 21 games = 37 points money spent = £60m
Di Maria, £29m Shaw, £29m Herrera, £14m Blind,
£16m Rojo, £6m loan deal Falcao.
Truly Moyes was better at this stage than LVG,
considering the resources he had @ the time

YaP even D Di Mateo alichukua Champions League na Chelsea kitu ambacho Morinyo hajafanya pale Chelsea
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
YaP even D Di Mateo alichukua Champions League na Chelsea kitu ambacho Morinyo hajafanya pale Chelsea

Mkuu kuna watu wanafanya uchambuzi wa ajabu sana...sawa hata kama points zipo sawa, hivi hawaoni hata improvements za timu na wachezaji?

Timu angalau inacheza mpira wa kueleweka kuliko wakati wa DM...

Ndiyo maana mimi uwa nasema kuwa United ikifungwa washabiki haswa wa shitty, goons, loserfools na rentboys ufurahia kuliko wanavyofurahia timu zao kushinda...

Siku hizi mpira umevamiwa na watu wa ajabu kweli...yaani unamlinganisha LvG na DM?!?
 
Mkuu kuna watu wanafanya uchambuzi wa ajabu sana...sawa hata kama points zipo sawa, hivi hawaoni hata improvements za timu na wachezaji?

Timu angalau inacheza mpira wa kueleweka kuliko wakati wa DM...

Ndiyo maana mimi uwa nasema kuwa United ikifungwa washabiki haswa wa shitty, goons, loserfools na rentboys ufurahia kuliko wanavyofurahia timu zao kushinda...

Siku hizi mpira umevamiwa na watu wa ajabu kweli...yaani unamlinganisha LvG na DM?!?

Cant compare these two people, because DM took Champions League at the younger age than crappy LvG.
 
Back
Top Bottom