Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona kuna card nyekundu kabla ya mchezo kwisha, inaweza kabisa ikabadili matokeo ya mchezo kama kutakuwa na muda mwingi uliobaki katika zile dakika zetu 90.

hizi kadi za njano mbaya sana
 
Inashangaza kuona timu hii iliyokuwa tishio kubwa msimu uliopita sasa imebaki midabwada tu. Wasipoangalia leo wanaweza kuchapwa hata tano.

zonal marking inawaua sana liverpool
 
Half time 2goals mbele but nahofia hizi yellow zimekuwa nyingi unnecessary zitatucost
 
Scousers wanalilia goli la offside...Karma is a biachi...

Wamesahau mwaka jana OT, goli la offside na penati za ajabu!!

Hata wakipigwa tano leo, basi hilo goli la Mata linamata kwenye mata-tizo yao...
 
Aisee hata mimi wananipa tumbo joto sana,natamani hata niingie kwenye Tv niwaambie....

Hapo dawa ni kumtoa Fellaini na aingie Herrea ili tuweze kumiliki pale kati...kwani Fellaini sasa anaogopa kupata kadi ya pili..
 
10850216_10152626002352746_6728587652348491901_n.jpg
 
Inabidi Fellini atoke aingie Herrera,tuwafunge goli mbili haraka then tufanya sub ya Evans/Jones aingie McNair/Blackett Falcao for Rooney
 
Hapo dawa ni kumtoa Fellaini na aingie Herrea ili tuweze kumiliki pale kati...kwani Fellaini sasa anaogopa kupata kadi ya pili..

Inabidi iwe hivyo aisee...umeona stats tumetisha fouls 9???
 
Ni offside vile, ila naifikiri linesman alifikiri rvp hajagusa Mpira. That's only logical explanation

Ni sawa kabisa lile goli mshika kibendera hakuona kama rvp kaugusa ule mpira...yote kwa yote ndio mpira uo
 
Hii Liverpool kipindi wamemuuza Alonso walikaa misimu kama 3 mpaka kuja kuziba Pengo lake, Sasa la Suarez sijui itachukua muda gani kuziba
 
Back
Top Bottom