Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

L'pool walianza vizuri sana, I hope hili goli halitawakatisha tamaa na kuanza kukimbia kimbia hovyo kama hawajui nini cha kufanya.

Wameeamka hao!! Kama ulivyosema jana kitimoto eeeh acha tu hapa ni balaaa!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Walinda mlango wetu si wazuri sana LP wakijipanga watapachika bao....
 
Evans rafu gani hiyo ya kijinga mahali hata hapahitajiki kucheza rafu....
 
Back
Top Bottom