Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi wadau?,huu mwaka naona majeruhi wa timu ni wengi sana kuliko miaka yote...unakuta anapona mmoja wanaumia wawili,yule kocha wa viungo aliyekuwa anafanya kazi na babu na yeye walimtimua nn?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hivi wadau?,huu mwaka naona majeruhi wa timu ni wengi sana kuliko miaka yote...unakuta anapona mmoja wanaumia wawili,yule kocha wa viungo aliyekuwa anafanya kazi na babu na yeye walimtimua nn?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Mmoja Alistaafu mkuu na ni baada ya zaidi ya miaka 20 ya kuitumikia MUFC alitaka sasa kurudi nyumbani na kutulia na familia yake...!! Ila aliyestaafu nadhani ndo aliyekuwa daktari wa Timu na vyombo vinaripoyi kuwa LVG ana mazoezi mazito na ndo yanayosababisha majeruhi wa mara kwa mara
 
Hivi wadau?,huu mwaka naona majeruhi wa timu ni wengi sana kuliko miaka yote...unakuta anapona mmoja wanaumia wawili,yule kocha wa viungo aliyekuwa anafanya kazi na babu na yeye walimtimua nn?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Tatizo linaonekana ni mfumo wa mazoezi kocha anatoa mazoezi mazito sana na wengi hawakuwa wamozea so Majeruhi ni wengi kwa sasa ila itafika wakati watazoea tu
 
Full draw:

Arsenal v Hull City

Southampton v Ipswich

Stoke v Wrexham

Charlton v Blackburn

Dover v Crystal Palace

AFC Wimbledon v Liverpool

Manchester City v Sheffield Wednesday

Aldershot/Rochdale v Nottingham Forest

West Brom v Gateshead

Blyth Spartans v Birmingham

Aston Villa v Blackpool

Rotherham v Bournemouth

Huddersfield v Reading

Oxford/Tranmere v Swansea

Cardiff v Colchester

Bolton v Wigan

Sunderland v Leeds

Burnley v Tottenham

Millwall v Bradford

Derby v Southport

Brentford v Brighton

Fulham v Wolves

Leicester v Newcastle

Scunthorpe/Worcester v Chesterfield

Everton v West Ham

Cambridge/Mansfield v Bury/Luton

Chelsea v Watford

Barnsley/Chester v Middlesbrough

QPR v Sheffield United

Accrington/Yeovil v Manchester United

Preston v Norwich

Doncaster v Bristol City



thanx in advance sir
 
Asante sana mkuu maana walitaka kunichanganya kidogo.....

Team news: Unscathed comebacks against Southampton for Wayne Rooney and Jonny Evans look to have confirmed their availability for this weekend’s meeting at Old Trafford, but Chris Smalling will be out for two weeks after suffering a problem with his groin. Luke Shaw, Daley Blind and Angel Di Maria are the other confirmed absentees. Daniel Sturridge continues to be unavailable for the opposition, but Mario Balotelli has returned to training from a hamstring issue. Mamadou Sakho made Liverpool's bench for their European clash with Basel after a thigh injury, and he should be rejoined in the squad by fellow centre-back Kolo Toure.
 
Tatizo linaonekana ni mfumo wa mazoezi kocha anatoa mazoezi mazito sana na wengi hawakuwa wamozea so Majeruhi ni wengi kwa sasa ila itafika wakati watazoea tu

Huwa napata shida sana kuamini hilo la mazoezi magumu, kwa sababu wachezaji wote walio majeruhi waliumia kwenye mechi na sio mazoezini.
Haya magazeti ya Uingereza huwa yanapenda sana kuzusha mambo na kutaka yaaminike hivyo, tangu Welbeck aondolewe Man United waandishi wa Uingereza wamekuwa kinyume sana na LVG.
Ova
 
Leo tunashinda 3-2.

Sijui kama Liverpool wataweza kufunga zaidi ya goli 1 kwenye goli letu leo. Na sioni Kolo Toure atakavyoweza kuwazuia RVP na Rooney wasifunge mabao leo.
Ushindi kwa United uko wazi leo.
Ova
 
Huwa napata shida sana kuamini hilo la mazoezi magumu, kwa sababu wachezaji wote walio majeruhi waliumia kwenye mechi na sio mazoezini.
Haya magazeti ya Uingereza huwa yanapenda sana kuzusha mambo na kutaka yaaminike hivyo, tangu Welbeck aondolewe Man United waandishi wa Uingereza wamekuwa kinyume sana na LVG.
Ova

Mazoezi magumu yanaweza kuchangia kumia kirahisi wakati wa mechi!
 
Huwa napata shida sana kuamini hilo la mazoezi magumu, kwa sababu wachezaji wote walio majeruhi waliumia kwenye mechi na sio mazoezini.
Haya magazeti ya Uingereza huwa yanapenda sana kuzusha mambo na kutaka yaaminike hivyo, tangu Welbeck aondolewe Man United waandishi wa Uingereza wamekuwa kinyume sana na LVG.
Ova

Kwa bahati mbaya mi si mtaalam sana kuelezea kitaalam inavyokuwa ila kwa kifupi mazoezi makali yanafanya wachezaji kuumia kirahisi zaidi mazoezini hasa matatizo yanayotakana na misuli.
 
Sijui kama Liverpool wataweza kufunga zaidi ya goli 1 kwenye goli letu leo. Na sioni Kolo Toure atakavyoweza kuwazuia RVP na Rooney wasifunge mabao leo.
Ushindi kwa United uko wazi leo.
Ova
Mechi ya leo ni extra ordinary. Man utd beki yetu sio stable ni rahisi kuruhusu goli. Pia foward zetu zina uwezo mkubwa wa kufunga.
 
Wajua Carrick ameleta uhai Mpya kwenye ulinzi, kiungo chake kimekuwa kikisaidia sana ulinzi na ndio maana tangu arejee kikosini hatujapoteza mchezo.
Ova
Ni kweli Carrick kaleta uhai katika defensive midfield. Lakini hiyo haitoshi tunahitaji centre back kam Hummels. Mechi ya leo 3-2.
 
Back
Top Bottom