Zipi?? Kama tuna 3 shoots on target alafu 2 ni magoli huoni we are accurate?? Ball Possession dhidi ya Arsenal ni almost the same maana difference haizidi 10%, same story na SOTON hawakutuzidi sana na jana tulicheza defensive game. Tuna majeruhi lukuki, hatuwezi pambana 100% na timu ambayo tunajua they can make a single mistake which can benefit us, that's the philosophy. Hizi timu ndogo huitaji kutumia nguvu nyingi, waache wacheze wewe pata nafasi chache tumia zote vizuri. Angalia game ya Chelsea na Man City jinsi tulivyofunguka, ni kwasababu tulijua hizo ndio timu tunazopambana nazo kukaa pale Top 4. Arsenal amekua na shoots on target average 7 kwa kila mechi lakini waangalie walipo..