phytohaemoglutinin
Member
- Oct 17, 2014
- 31
- 14
man u 3 - 0 chelsea
Usiwe nawasi nilikua nakusanya majalada ya kesi yako, siunajua leo ndio judgment yako?
...
....United 5 Chelsea 0 hii kitu bila ubishi !!!
Khe Khe Khe Khe Khe
Man Utd 0 Chelsea 7
....
Dadadadadadeku !!
![]()
man u 3 - 0 chelsea
naona wafu mnafarijiana , utafiti unaonyesha chelsea wakifungwa ndio wanakuwa wakali zaidi kama nyuki. mfano mechi ya evartone na swan sea. Ukitaka kumfunga chelsea mvizie dk za majeruhi ili ukimfunga na refa anapuliza kipyenga cha kumaliza mpira . Lakini ukimfunga mapema mnaweza kutafutana uwanjani na msionane kabisa.