Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

....


Dadadadadadeku !!

445B00FC5D7A47EEBDE7FACF0A3A62B9.ashx
 
man u 3 - 0 chelsea

naona wafu mnafarijiana , utafiti unaonyesha chelsea wakifungwa ndio wanakuwa wakali zaidi kama nyuki. mfano mechi ya evartone na swan sea. Ukitaka kumfunga chelsea mvizie dk za majeruhi ili ukimfunga na refa anapuliza kipyenga cha kumaliza mpira . Lakini ukimfunga mapema mnaweza kutafutana uwanjani na msionane kabisa.
 
mechi ya leo itakuwa na kadi nyingi sana kwa upande wa man. Namtabiria rafael, au rojo au smalling au blind mmoja wapo atapata red card . rafael ana posibility kubwa ya kupata red card lakini rafu atakayochezewa hazard inaweza kumweka nje miezi sita
 
naona wafu mnafarijiana , utafiti unaonyesha chelsea wakifungwa ndio wanakuwa wakali zaidi kama nyuki. mfano mechi ya evartone na swan sea. Ukitaka kumfunga chelsea mvizie dk za majeruhi ili ukimfunga na refa anapuliza kipyenga cha kumaliza mpira . Lakini ukimfunga mapema mnaweza kutafutana uwanjani na msionane kabisa.

time will tell/muda utasema
 
..........>>>> loading! :coffee:
All the best Nzi, Belo, etc...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom