Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Nadhali Van Gaal atatakiwa kufanya maamuzi magumu kama ifuatavyo.
1. Van Pasie atatakiwa kuwekwa bench,mchango wake tangu msimu unaanza umekuwa mdogo sana.
2. Mechi yetu na Chelsea Van Gaal atatakiwa kucheza mfumo wa kudefence zaidi kuliko kushambulia sana.Man ikiwa na mpira ni nzuri sana lakini wakipoteza utadhani ni timu ya mchangani.Ningependa Blind na Carrick wacheze nafasi ya viungo wakabaji halafu Fellain acheze nafasi ya kiungo mshambuliaji.Lazima Man itumie mfumo wa mshambuliaji mmoja badala ya washambuliaji wawili.Januzaj asipangwe kabisa.
Golini km kawaida..!
Beki Za pembeni ni Ivanovic na Luis.
Beki Za Kati ni Cahill na Terry
Viungo wakabaji ni Matic na Ramires
Viungo wa pembeni ni Willian na Hazard
Nyuma ya Striker ni Fabregas na Striker ni Costa...!
Hamtoki hapo....!