Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Which to which??
 

Attachments

  • 1413840454519.jpg
    1413840454519.jpg
    107.8 KB · Views: 147
Huyu dogo si anatokea Benin?

Leo anaback track ile mbaya.

Nimesikia BBC alikuja TZ Kwa miguu akitokea Kwa Burundi Kisha akachukua bus kwenda Nairobi kupanda ndege kwenda ulaya.
 
Angalia tofauti ya United na 4th spot kwa misimu hiyo miwili, ndiyo utajua which is which!

Hivi wewe si goons wewe? Unapata wapi nguvu ya kupiga kelele na huyo Aseno Chenga wenu?

Hali ya mtani wangu kwa kweli ni mahututi daaaah
 
Timu inajengeka vizuri sana sasa, ila tuna tatizo kwenye uporaji mpira kwa adui, hasa sehemu ya kati.
Ila tutaheshimiana tu.
Ova

Daaah yaani pale ndiyo team imekaa vizuri?Mgonjwa anakataa uji na kwikwi inazidi kuchukua nafasi yake!

Mechi hizi mbili zimefuatana na Chelsea na Man City kweli kuna usalama kwa perfomance hii ninayo iona kwa mtani?
 
Daaah yaani pale ndiyo team imekaa vizuri?Mgonjwa anakataa uji na kwikwi inazidi kuchukua nafasi yake!

Mechi hizi mbili zimefuatana na Chelsea na Man City kweli kuna usalama kwa perfomance hii ninayo iona kwa mtani?

Mpira haupo hivyo chifu..tusubiri dk 90...
 
Tatizo la United linajulikana ni defence,tofauti na nyie kuanzia beki,viungo,fowadi,kocha wote ni tatizo

Kama sisi tuna matatizo kila idara mbona tumeshinda mechi 2 ugenini?How many games ww mwenye tatizo kidogo tu umeshinda over all na ugenini?

Kama mm nina tatizo kuliko ww iweje mm niwe na points nyingi zaidi yako?

Man U haiwezi shinda ugenini hata kwa team za daraja la 3 daaah(MK Dons)
 
Tatizo la United linajulikana ni defence,tofauti na nyie kuanzia beki,viungo,fowadi,kocha wote ni tatizo



Belo Huu Ndio ukweli kwa timu ya loserfool... Lkn Huyu Malafyale anijafanya haoni hili....!

Khe Khe Khe Khe Khe
 
Last edited by a moderator:
Daa jana man united walitakiwa washinde ile gemu but ndio mpra,sijui tumejipangaje kuhusu gemu la chelshit
 
Daa jana man united walitakiwa washinde ile gemu but ndio mpra,sijui tumejipangaje kuhusu gemu la chelshit



Mna Kz kubwa mbele yenu....!

Mnaanza na sisi then mnakwenda kwa Man City Etihad..! Na kiwango cha timu yenu Bado sio kizuri...!

Mna Kz kubwa sn..!
 
Nadhali Van Gaal atatakiwa kufanya maamuzi magumu kama ifuatavyo.

1. Van Pasie atatakiwa kuwekwa bench,mchango wake tangu msimu unaanza umekuwa mdogo sana.

2. Mechi yetu na Chelsea Van Gaal atatakiwa kucheza mfumo wa kudefence zaidi kuliko kushambulia sana.Man ikiwa na mpira ni nzuri sana lakini wakipoteza utadhani ni timu ya mchangani.Ningependa Blind na Carrick wacheze nafasi ya viungo wakabaji halafu Fellain acheze nafasi ya kiungo mshambuliaji.Lazima Man itumie mfumo wa mshambuliaji mmoja badala ya washambuliaji wawili.Januzaj asipangwe kabisa.
 
Back
Top Bottom