Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
man u hata wakiwafunga magoli kumi timu pinzani wakiamua kufunguka na kushambulia kwa kasi yanarudi yote , hakuna beki pale yenye uwezo wa kuhimili pressure . Huwezi kuchukua mabeki toka timu b waje wacheze bpl.
Mkuu ligera tumeshaweka kambi humu mkuu! Nimefurahi kuona uwepo wako mkuu!
Kweli Chelsea tunatisha...!
Last edited by a moderator: