Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,076
- 12,302
Arafu sisi haijalishi tuna majeruh wala nini. Tukipungua, tukitimia moto ni uleule tu. Siunakumbuka msimu uliopita tuliakua spana mkononi lakini haukutufunga nyumbani kwetu, sembuse msimu huu, ninakila zana? We njoo ukijua unaenda kupana na mwanamme alie baleh sio kama wavulana ulio wafunga week iliopita.Mkuu Kitoabu ndani ya Nyumba....! Safi sn mkuu.
Dua zetu mpk sasa msiwe na majeruhi. Yani timu yenu iwe full ngwamba ndo tukutane pasiwe na sababu Za kulia lia.
Last edited by a moderator: