Wakuu... hodi sana humu, najua mna furaha sana maana jana niliona mvua ya mawe... HONGERENI!!
Ila msisahau kutukumbuka katika sala zenu maana mgonjwa wetu (Liverpool) hajajigeuza tangu jumapili na mitungi ya gesi inaelekea kwisha
YNWA
Mkuu poleni.
Hivi mmekatazwa kubadili daktari (Rafa)? Maana naona ukomo wake umefika.