Poleni kwa kichapo. Hii ni EPL, baadhi ya washabiki wa Manu walidai Arsenal wachovu sababu walidraw hapo The King Power stadium na wao eti ndo walikuwa wameanza ligi pale OT wiki ilopita na QPR. Kuhusu refaree, leo kalikoroga, ila kila timu ya EPL itaonewa na kupendelewa. Manu walitakiwa wa-react ila hakukuwa na hiyo spirit. Poleni sana. Football is soo unfair sometimes when you have that talents at ur disposal and still u end up with such a debacle. At the end of the day, NIMEFURAHI na poleni sana.