Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Msijidanganye bhanaa eti kwaa huu ushindi wenu wa leo dhidi ya timu kata kuna makocha, wamiliki, wacheza na wapenzi wa timu yeyote ile watakosa hata lepe la usingizi.

BAK Makocha, Owners, Wapenzi wa timu zingine hawatalala vizuri wakifikilia ni jinsi gani Utd itakavyowafanyia kitu mbaya.... Ohhh kuna timu tulishaigonga 8.... na mziki huu wa sasa sijui itakuwaje
Bulldog Utd ni timu tajiri watawapa Madrid hizo £4 millions extra
 

Attachments

  • altAu_UHXZCcXykaAsDbO92l4e706fkOZaZwRU413QajeVm.jpg
    altAu_UHXZCcXykaAsDbO92l4e706fkOZaZwRU413QajeVm.jpg
    78.4 KB · Views: 64
Last edited by a moderator:
Mdudu Nzi siku zote saa hizi unakuwa umeshalala, lakini leo hii bado uko macho ukiruka huku na kule! Kweli mmefurahi sana hapo maskani OT.

Duh! Jamani, #UkaangaSumu noma aisee. Hivi wewe nawe unaweza kumlinganisha Giggs na LvG?

Hata kama uchawi siyo hivyo, duh!!
 
Last edited by a moderator:
Hofu imetanda kwa wapinzani wa timu bora Utd.... lakini tuliwaambia hamkutaka kusikia.

Tulisema World CLass players watakuja... mkasema ohh Utd haichezi Champions league. . Hawawezi kuja.... ohhh Ronaldo anataka kurudi nyumbani Old Trafford
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Last edited by a moderator:
Malizia sentensi yako Mkuu!, mmeiva kuzifunga timu za kata. Arsenal si timu ya kata, siku zote kumbuka hivyo.

Washajua maangamizi tutakayowapelekea. Tuna mechi 6 hadi tutakapomkuta arsenal. Tushaiva hapo
 
rubaman.... kuwa free kuzihifadhi posts zangu ninarudia tena heshima imerudi EPL

Ningefurahi sana kama game inayofuatia ingekuwa na tawi letu la Emirates
 
Last edited by a moderator:
nilisema tutaheshimiana tu mwaka huu.....ANDER HERRERA ni balaa,sasa tuna scoring midfielder....DALEY BLIND ni kama alikuwepo kwenye hii timu misimu mitano....ROJO[say ROHO] huyu hata alikuwa humuoni uwanjani maanke hana mistake yoyote na yeye utafikiri alikuwepo premier league misimu mitano iliopita.....DI MARIA im speechless tulichokikosa kwa Ronaldo alivyoondoka nakiona kwa DI MARIA.....Falcao ana kazi rahisi sana kumalizia pasi za DI MARIA kama alivyofanya JUAN MATA leo....ROONEY business as usual....VAN PERSIE asije kulaumu mtu kwa mpira huu lazima ainue kiwango chake otherwise benchi linamuhusu.....

kwa kweli si ushindi tu ulionifurahisha ni ile perfomance,timu ndani ya wiki mbili ishajengeka 'diamond' pale katikati inavyofunguka na kufunga ni balaa yaani utafikiri walikuwa wanafanya mazoezi pamoja kwa mwaka mzima.....

najua #WakaangaSumu watasema its just QPR lakini hizi ndio timu ambazo kama timu yako ni nzuri unapiga goli si chini ya tatu na tumewapiga nne pengine zingekuwa hata 8 kama tusingetoa mguu kwenye gas!!!!!!!!

cc: Ntuzu agosti 8 rubaman MosDef Mndengereko DonDonald Belo Nzi pierre fm

Spurs nao walishinda bao hizo hizo 4-0 against QPR week 3 tu zilizopita tena with a SOLID perfomance..
 
Last edited by a moderator:
Mdudu Nzi siku zote saa hizi unakuwa umeshalala, lakini leo hii bado uko macho ukiruka huku na kule! Kweli mmefurahi sana hapo maskani OT.

Ebu acha husda basi nawewe...khaa!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom