Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 189
That Pressure unayoongelea will NEVER happen to Man Utd, more especially kwa wanazi sie, rejea post zetu hususani katika kipindi kile cha mpito, kipindi, Fletcher na Carrick wanapipga beki za kati, What was our stance?, sisi ndio Manchester UNITED, embu soma signature ya Belo muone nini naamanisha.
It is not over till its ova.
There is only one football club in Manchester-Ricardo Kaka
Huyu dogo itachukua miaka kumsahau wenyeji wa imarate, ni kama Gigys 1999FA
Lol!, hilo swali hawezi kujibu kaka!
Hehehe naona washabiki wa Arsenal wamepata pumzi za kuvamia majukwaa ya wenzao...alafu mnaongea as if tumefungwa, hao Villa wenyewe mlitoa (Arsenal) nao draw vile vile.
Nenda Hospital wewe....and that is Manchester City!
Hakuna kurushiana viatu leo hatutaki ngeu ... khe khe khe khe kheeeeee
Simpo "Tumeshinda"..Kudoz Manure fans @JF!!
Hongera BJ na wana MANU wote hapa jukwaani π kwa ushindi mdogo π Jamaa wakipata kagoli kamoja tu kule Milan mmeadhirika π Dua la kuku!...... hahahahahahahaha