Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,895
- 11,288
Mpira umebadilika sana ndugu yangu kwa sasa vitimu vidogo ule uoga wao wa kucheza na man u umepungua sana by the way lets be honest to ourself ho w the hell do you expect to be cup finalist au tittle contender kwa viwango vya akina anderson na evans??
Moyes ndiyo aliiondoa fear factor ya Man U**!
Hata vitimu vidogo sasa vina hope kupata point hata OT.
Demba Ba atakuponesha machungu lkn vumilia kwa masaa tu