Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mpira umebadilika sana ndugu yangu kwa sasa vitimu vidogo ule uoga wao wa kucheza na man u umepungua sana by the way lets be honest to ourself ho w the hell do you expect to be cup finalist au tittle contender kwa viwango vya akina anderson na evans??

Moyes ndiyo aliiondoa fear factor ya Man U**!
Hata vitimu vidogo sasa vina hope kupata point hata OT.
Demba Ba atakuponesha machungu lkn vumilia kwa masaa tu
 
10632618_1147338181973063_2924031614348371574_n.jpg
 
Mpira umebadilika sana ndugu yangu kwa sasa vitimu vidogo ule uoga wao wa kucheza na man u umepungua sana by the way lets be honest to ourself ho w the hell do you expect to be cup finalist au tittle contender kwa viwango vya akina anderson na evans??

Duuh! Pole sana ndugu i though baada ya kufanikisha kampen ya #MoyesOut mambo yataenda sawa ka mlivyodai.
BTW mpaka huyo LVG aje ashtuke kuwa Back three siyo dili kwa wachezaji alionao tutakuwa tumeshuhudia mengi saana.
 
We nawe kinachokuchekesha kitu gani?? Baada ya kutuonea huruma. Ngombe wa bwanakheri,shamba la bwanakheri na wanakula mahnd ya bw kher tuacheni na man u yetu!

Teh teh teh teh teh! Hakuna kesi hapo.
Teh teh teh teh.
 
Naamka Asubuh macho yangu mtandaoni, eti aliyezoea kubanduliwa kabanduliwa tena,
Inatoosha sasa, Moyes cjui kafanya nini inatosha sasa,
Van Gal cjijui kafanya nini inatosha sasa.
 
Chicha uza juve 15£
Anderson 10£
Asha yanga bureeeeee
Cleverly uzaa 9£
Zaha loan
Fletcher go to hell
Smalling uza 6£
Welbeck uza 13£
Kagawa uza 20£

Pesa ya de maria inarudi...
Halafu nunua tena
Vidal***
Blind**
De jong****

Uwone shidaaa itakayo tokeo Palee.....
 
Yani inashangaza sana timu haina mabeki wa katikati hata mtoto mdogo anajua kabisa hakuna central defender lakini no action taken zaidi ya kusikia tetesi za kina vidal ambao hawawezi kuziba hilo pengo. Kiungo mkabaji napo hakuna kitu wakati wapo ambao wana uwezo wa kuziba hilo pengo wengi tu tena wanaweza kupatikana kwa bei ya kawaida kama Mamadou Diame, Blind yupo tayari kabisa kuondoka ajax lakini hadi leo no bid iliyopelekwa. Kama vp asajili mabeki wa katikati then Phil Johns awe kiungo mkabaji kutakuwa na nafuu
 
Man U……… ipo ktk harakati za kubadilisha mfumo kutoka 4:4:2 au4:4:1:1 kwenda 3:5;2 au3:2:3:2 au 3:3:2:2 hii itamsaidia kocha kufundisha kitu kipya na kuweza kuona mabadiliko yawe mazur au mabaya tofauti na moyes alikua anapita mule mule kwa babu geff. Kila siku LVG anaomba united fans wawe wa vumilivu……… na sure timu itakua sawa japo si kwa haraka kama tunavotaka..ndio lvg ameanza vibaya zaid ya moyes y!?? Sababu ana introduce new strategies……
GGM
 
Kwa kweli nimeamua kutowacheka badala yake ninawapa support ya kisoka. Wapenzi wa Manchester United mnatakiwa kupiga nyoyo zenu konde ndo soka lilivyo . Endeleeni kuisapoti timu yenu kama wengine tunavyozisapoti timu zetu hata kama hazibebi makombe . Nina imani LVG atawarudisha juu kama atapewa muda unaotosha. Kutolewa ktk Capital One Cup kutawapa muda wa kuconcentrate ktk ligi ambayo msimu bado ni mchanga.
 
Kwa kweli nimeamua kutowacheka badala yake ninawapa support ya kisoka. Wapenzi wa Manchester United mnatakiwa kupiga nyoyo zenu konde ndo soka lilivyo . Endeleeni kuisapoti timu yenu kama wengine tunavyozisapoti timu zetu hata kama hazibebi makombe . Nina imani LVG atawarudisha juu kama atapewa muda unaotosha. Kutolewa ktk Capital One Cup kutawapa muda wa kuconcentrate ktk ligi ambayo msimu bado ni mchanga.

True say…
 
Yani inashangaza sana timu haina mabeki wa katikati hata mtoto mdogo anajua kabisa hakuna central defender lakini no action taken zaidi ya kusikia tetesi za kina vidal ambao hawawezi kuziba hilo pengo. Kiungo mkabaji napo hakuna kitu wakati wapo ambao wana uwezo wa kuziba hilo pengo wengi tu tena wanaweza kupatikana kwa bei ya kawaida kama Mamadou Diame, Blind yupo tayari kabisa kuondoka ajax lakini hadi leo no bid iliyopelekwa. Kama vp asajili mabeki wa katikati then Phil Johns awe kiungo mkabaji kutakuwa na nafuu

Even me iw wondering anaamini sana katika chipukizi nadhani pia anataka kumpa kila mtu nafasi kabla ya kufanya maamuzi ya kumtimua ila hlo ndo linatucost ila kwa mfano mtu kama anderson hapaswi cha time inabd aondolewe tu hata bure
 
Man U……… ipo ktk harakati za kubadilisha mfumo kutoka 4:4:2 au4:4:1:1 kwenda 3:5;2 au3:2:3:2 au 3:3:2:2 hii itamsaidia kocha kufundisha kitu kipya na kuweza kuona mabadiliko yawe mazur au mabaya tofauti na moyes alikua anapita mule mule kwa babu geff. Kila siku LVG anaomba united fans wawe wa vumilivu……… na sure timu itakua sawa japo si kwa haraka kama tunavotaka..ndio lvg ameanza vibaya zaid ya moyes y!?? Sababu ana introduce new strategies……
GGM

We all understand that tatzo shda haizoeleki
 
Back
Top Bottom