Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

maskini tunatia huruma,
bora tungefungwa game zote kule Usa,labda Ed woodward angesajili wachezaji wa maana kitambo,zimebaki siku 6 sijui kama kitaeleweka.
 
kuikweli inatia huruma ila hii itawafanya man u mechi zilizobakia ni ushindi tuu

Mkuu mpira hauchezwi jf wala interenet ni uwanjani tusijidanganye kwa wachezaji wale wanaoshndwa kuelewana uwanjani au wanacheza kama hawana mazoez itakula kwetu kama lvg hatochukuu juhudi za makusudi kuyauza magalasa na kununua vitasa vya ukweli au kubadili formation ila kwa beki zetu na mfumo wa beki tatu nyuma tutafungwa kila leo mpk babu seya anatoka jela
 
Im feeling betrayed by man u.average and stupid players plus formation vimetugharimu mno,ule upuuzi alioufanya evans leo umevuka kiwango
 
Mkuu mpira hauchezwi jf wala interenet ni uwanjani tusijidanganye kwa wachezaji wale wanaoshndwa kuelewana uwanjani au wanacheza kama hawana mazoez itakula kwetu kama lvg hatochukuu juhudi za makusudi kuyauza magalasa na kununua vitasa vya ukweli au kubadili formation ila kwa beki zetu na mfumo wa beki tatu nyuma tutafungwa kila leo mpk babu seya anatoka jela

:whoo::whoo::whoo:....hahahah!
 
wachaanza kumchoka tayari

attachment.php
 
Karibu England LvG .. huo mfumo wako hovyo.. so far record yako ni mbaya kuliko ya David Moyes: O W 1D 2L

Kama umemfahamu LvG kabla ya kombe la dunia, utajua ya kwamba yeye ni mpenzi wa 4-3-3. Hii 3-5-2 anaitumia kwavile kasema hana wachezaji wa kufit 4-3-3. Ngoja tuone kama kweli Vidal na Blind watatua OT pia.
 
yapo sawa sawa kabisa

manure 0

mk dons 4

Mchana niliposoma kuwa leo ni: Suzuki vs Chevrolet nilidhani ni utani kumbe hawa madogo kweli wametupia kitu cha Suzuki. It was very funny. Nahisi Chevrolet watasitisha mkataba very soon that was a humiliation kwao pia.
 
……………………………………………
Oooh shiiiiiiit…………!!!!!!
hata wkend kuna gemu tusahau yaliopita hopely tuta improv kidogo………
evans daaah ndo center diffender mkongwe na tegemewa kwa sasa nini sasa anafanya!????
GGM
 
Mchana niliposoma kuwa leo ni: Suzuki vs Chevrolet nilidhani ni utani kumbe hawa madogo kweli wametupia kitu cha Suzuki. It was very funny. Nahisi Chevrolet watasitisha mkataba very soon that was a humiliation kwao pia.

tena mkuu wkeend hii kuna game ngume sana na burnley. hawa madoo wamepoteza game 2 mfululizo haweza kukubali kipigo cha tatu hivyo man u wakicheza kam leo watachezea kichapo cha kufa mtu. Leo wameiona manure walivyocheza na kama wangekuwa burnley basi tungesema mengine.
 
Back
Top Bottom