Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ha ha ha ha bro. United ndio timu ya kwanza kuanza kufanya matumiz makubwa ya pesa au umesahau uhamisho wa ferdnand kutoka leeds!?? man u ndo baba lao kaka.
Anyway heshima kwako braza

Kama Sikosei Newcastle United walivunja rekodi ya kumnunua Alan Shearer toka Blackburn kabla ya transfer ya Rio lakini Rio alikuwa beki expensive wa Kwanza
 
Kama Solaris Newcastle United walivunja rekodi ya kumnunua Alan Shearer toka Blackburn kabla ya transfer ya Rio lakini Rio alikuwa beki expensive wa Kwanza

Sure so chelsea na man city……… sio waasisi wa kutumia pesa kwenye usajil……
any way dili la di maria bado si halisia bado mambo mengi hayajawekwa sawa united tunaweza mkosa
 
DonDonald nyie MK Dons mna mategemeo ya kuwafunga Manchester United katika Capital One Cup leo usiku? Naomba Mungu muwaondoe United katika mashindano haya LOL.

Cc: Pazi
 
Mashetani wekundu.......huyo golikipa wenu De Gea....ni mvivu sana kwenye mipira ya cross (corner kick zikiwemo)........na hilo ni suala linalowa-let down sana ManU.........kwa mfano goli la Sunderland ile majuzi.......pamoja na defense kuwa nyanya....golikipa yeye anakaa tu pale langoni.........
 
Mashetani wekundu.......huyo golikipa wenu De Gea....ni mvivu sana kwenye mipira ya cross (corner kick zikiwemo)........na hilo ni suala linalowa-let down sana ManU.........kwa mfano goli la Sunderland ile majuzi.......pamoja na defense kuwa nyanya....golikipa yeye anakaa tu pale langoni.........

Umeona ehe, nashangaa kwa nini tatizo hili watu hawalioni. Pale golikeeper hamna hata wakileta defence imara kiasi gani. Yule golikipa ni majanga tu na hajui kujituma. Yaani yeye na urefu wote ule anashindwa kuifuata mipira. Bure kabisa huyo De Gea.

Tiba
 
Umeona ehe, nashangaa kwa nini tatizo hili watu hawalioni. Pale golikeeper hamna hata wakileta defence imara kiasi gani. Yule golikipa ni majanga tu na hajui kujituma. Yaani yeye na urefu wote ule anashindwa kuifuata mipira. Bure kabisa huyo De Gea.

Tiba

Mashetani wekundu.......huyo golikipa wenu De Gea....ni mvivu sana kwenye mipira ya cross (corner kick zikiwemo)........na hilo ni suala linalowa-let down sana ManU.........kwa mfano goli la Sunderland ile majuzi.......pamoja na defense kuwa nyanya....golikipa yeye anakaa tu pale langoni.........

......Inategemea mpira ulitokea upande gani, jicho lake moja halioni! :msela:....[Ssshh!msiwaambie wenyewe, hawapendi!].
 
Umeona ehe, nashangaa kwa nini tatizo hili watu hawalioni. Pale golikeeper hamna hata wakileta defence imara kiasi gani. Yule golikipa ni majanga tu na hajui kujituma. Yaani yeye na urefu wote ule anashindwa kuifuata mipira. Bure kabisa huyo De Gea.

Tiba

Msimu wa 2012/13 ni wachezaji wawili tu waliokua na high consistency performance nao ni Januzaj na De gea
Hakuna goalkeeper hasiyefungwa lakini mpaka sasa De gea ameprove kuwa among the best goalkeepers in EPL
 
Msimu wa 2012/13 ni wachezaji wawili tu waliokua na high consistency performance nao ni Januzaj na De gea
Hakuna goalkeeper hasiyefungwa lakini mpaka sasa De gea ameprove kuwa among the best goalkeepers in EPL

Mkuu naomba nitofautiane na wewe kabisa. De Gea ana mapungufu mengi kama golikipa. Man U wasipoiona hiyo kasoro, wajiandae kuendelea kufungwa.

Tiba
 
Talksports radio wanaichamba Man United hawaipi nafasi kufanya vizuri hata kwa usajili wa Di Maria. I recommend you to download British radios app upate uhondo
 
Umeona ehe, nashangaa kwa nini tatizo hili watu hawalioni. Pale golikeeper hamna hata wakileta defence imara kiasi gani. Yule golikipa ni majanga tu na hajui kujituma. Yaani yeye na urefu wote ule anashindwa kuifuata mipira. Bure kabisa huyo De Gea.

Tiba

Kwa consistence ya degea……… umri wake……bado ni mtu sahih wa united...blv akipatikana central defender mmoja na defending midfielder mmoja hutayaona makosa madogo madogo ya dav de gea
 
🔫🔫🔫💣💣💣 haters and #WakaangaSumu wote ImageUploadedByJamiiForums1409077433.147681.jpg
 
Back
Top Bottom