Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kila siku nasali aje vidal, nimemuona kule seria A, jamaa ni mzima
hunishnd mimi ila kwa situation ilivyo ni ngumu tusubiri tu mpk dirisha dogo
Sahivi fellain hawezi kuondoka kwasababu ni majeruhi, smalling anaweza kuwa trained kuwa namba 5 nzuri kwasababu ana advantage ya urefu.

Personally, nampa msimu mmoja tu, kama hata-deliver basi auzwe
Kiwango chake kimegotea pale yule mkuu hawezi improve zaidi ya pale kamwe 'jitihada haizidi uwezo'
 
Mm ni mwanachama wa Man U kwa miaka 15 iliyopita na usafiri kwenda kuangalia live mechi kila mwaka , waweza kuangalia acc zangu 3 za fb nnazotumia kwa jina langu hilo, Sio rahisi kuhama club yenye mafanikio kuliko timu yyt Uingereza

Wewe ni muhaya?
 
ImageUploadedByJamiiForums1409019057.245493.jpg
Nimeikuta mtandaoni hii na caption yake ipo hivi...

"Angel Di Maria akiwa anaingia kwenye uwanja wa mazoezi wa Manchester United pale Carrington usku huu kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya afya.Ni wa pili
kushoto."

http://www.manchestereveningnews.co...tball-news/angel-di-maria-arrives-man-7669738


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ili kujua timu fulani imeshuka sana na imeanza kuogopa nayo imeanza kutumia hela.
Mtatumia hela ila hamtashinda kwani wenye hela wazoefu kina Chelsea na Man City ndio wanaojua mcheza wa hela na wachezaji wa bei nyie mmeingilia fan isiyo yenu subirini kipigo kikubwa
 
Ili kujua timu fulani imeshuka sana na imeanza kuogopa nayo imeanza kutumia hela.
Mtatumia hela ila hamtashinda kwani wenye hela wazoefu kina Chelsea na Man City ndio wanaojua mcheza wa hela na wachezaji wa bei nyie mmeingilia fan isiyo yenu subirini kipigo kikubwa

Haya wazoefu wa hela mlionunua kina Shevchenko,Torres na wengineo kibao,
 
6e8806df-8b06-43f6-a94f-2bdc408b419f.jpg

Real Madrid winger Angel di Maria (back seat, behind driver) akiwasili carrington training complex
 
utani kidogo

andika sentensi hii kwa wingi

Shabiki wa Manchester united ana mke.

hapo sasa
 
utani kidogo

andika sentensi hii kwa wingi

Shabiki wa Manchester united ana mke.

hapo sasa

na wewe andika hii kwa wingi

mtu kama MO11 ana mke.........au acha nikusaidie itaandikwa hivi....... watu kama MO11 wanawake.
 
Last edited by a moderator:
Mdogomdogo
 

Attachments

  • IMG-20140826-WA0000.jpg
    IMG-20140826-WA0000.jpg
    28.3 KB · Views: 149
Ili kujua timu fulani imeshuka sana na imeanza kuogopa nayo imeanza kutumia hela.
Mtatumia hela ila hamtashinda kwani wenye hela wazoefu kina Chelsea na Man City ndio wanaojua mcheza wa hela na wachezaji wa bei nyie mmeingilia fan isiyo yenu subirini kipigo kikubwa

Ha ha ha ha bro. United ndio timu ya kwanza kuanza kufanya matumiz makubwa ya pesa au umesahau uhamisho wa ferdnand kutoka leeds!?? man u ndo baba lao kaka.
Anyway heshima kwako braza
 
Back
Top Bottom